Matatizo kwenye mahusiano

Matatizo kwenye mahusiano

Tehteh kidogo tu mamito
Hawa wanaume sometimes sio kabisa

Lijianaume linalobebwabebwa hovyo kama malaya wa kike mara leo na asha kesho salima keshokutwa mwajuma linatia kichefu chefu kwakweli bora likajiuze tu
Hapo kweli mkuu
 
Wee acha tu Senee wanawake tunajirahisisha sana kwa hao wanaume wahivo sijui kisa ninini labda

Ndoivo Linamo watu wanajuana in and out hahaha afu mtu ajitete sijui biashara tu oh kaniomba nisaidie kitu weeeewwweehhh!!

Cc Smart911
Wanawake tumekuwa cheap sana siku hizi, sijui ndio utandawazi au Mimi ndio bado mshamba. .

Nimeona cases nyingi sana,
-mtu ana mume ila analiwa kiulaini na Ex, ndio maana uwaga mi nasemaga haiwezekani Ex mkawa bado marafiki, urafiki gani wakati anakujua kila kitu
-wadada cku hz akiona mtu anayejulikana, yani wanapagawa, kwa hiyo anagawa kiulaini, yani afu ukute hapewi hela ni ile aonekane na fulani tu, inasikitisha Sana
-wengine wanashobokea sana wanaume wazuri, wanavaa vizuri na wana maisha fulani hv afu ni kwenye social networks sasa. . Ukute hata sio maisha yao. . Wanaliwa papuchi na mtu ambaye hata hawamjui, na wanakimbiwa

Wadada inabidi tujirekebishe jamani lol, haiwezekani tunalalamikia mapenzi ya kweli oooh ndoa, wakati tupo rahisi mno, unapost umevaa taulo na maungo nje nje. . Lifestyle yako imekaa kula bata tu
 
Ofcourse best asante sana

Sio ex tu na mwanamke yoyote asie ndugu yake khakhaakhaa hapatoshi asee ukizubaa wanawake sie tunavojijua hatuna dogo
I won't allow that napasua mtu ubongo

Cc Smart911
Mbona hapa tuna chat jinsia tofauti na hakuna shida jamani
 
Back
Top Bottom