Matatizo kwenye mahusiano

Matatizo kwenye mahusiano

Hakuna kitu kama hicho. Mkiwa marafiki Kuna mawili unaweza kuanza kumuonea wivu juu ya mahusiano yake alionayo sasa au ukikuta yupo na mahusiano yasiyo na furaha atataka apumzishe nafsi yake kwako. Kitu ambacho ni hatari kwa mahusiano yako ya sasa. Waswahili wanasema ukitumia mua kama fimbo ya kutembelea ipo siku utaula tu.

Cc Smart911
 
Kuna MATATIZO yanatufuata na kuna matatizo tunayakaribisha wenyewe.

Unapokuwa KATIKA ndoa yako na kisha ukaanza "kuchati" na mtu ASIEKUWA jinsia yako kwa mazungumzo ya kuamsha HISIA basi hisia zikiamka ni DHAHIRI kwamba utaanza FIKIRA za kuisaliti NDOA.

Ni TATIZO lililokaribishwa.


Usijipe pressure bure, unaambiwa hakuna ndoa siku hizi...wacha tugegedane tu ila kwa kujikinga.
 
Hizi tabia wanazo Sana wanaume, na hawez kuchat bila kuingizia upuuzi, na inasikitisha wadada wa siku hizi they are so low, wanagawa kiurahisi sanaaaa tena kwa kaka zangu with looks na mafanikio wanawachota tu
 
Kweli kabisa.
Kwanza hakuna na nasisitiza hapa kwamba HAKUNA urafiki wa mwanamke na mwanamume wasio na mahusiano ya undugu either ndugu au mke na mume, vinginevyo ni kukaribisha mahusiano yatakayovunja ndoa. Kuchart na jinsia tofauti ni kuhatarisha mahusiano yako halali bila sababu na ni kukaribisha tatizo kubwa.
 
Hizi tabia wanazo Sana wanaume, na hawez kuchat bila kuingizia upuuzi, na inasikitisha wadada wa siku hizi they are so low, wanagawa kiurahisi sanaaaa tena kwa kaka zangu with looks na mafanikio wanawachota tu
Hakuna urafiki Kati ya watu wa jinsia mbili tofauti waliowahi jifunika shuka moja tena wakiwa Watupu. Ogopa Kama ukoma.
Wee acha tu Senee wanawake tunajirahisisha sana kwa hao wanaume wahivo sijui kisa ninini labda

Ndoivo Linamo watu wanajuana in and out hahaha afu mtu ajitete sijui biashara tu oh kaniomba nisaidie kitu weeeewwweehhh!!

Cc Smart911
 
Back
Top Bottom