Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,982
- 177,205
Hakuna kitu kama hicho. Mkiwa marafiki Kuna mawili unaweza kuanza kumuonea wivu juu ya mahusiano yake alionayo sasa au ukikuta yupo na mahusiano yasiyo na furaha atataka apumzishe nafsi yake kwako. Kitu ambacho ni hatari kwa mahusiano yako ya sasa. Waswahili wanasema ukitumia mua kama fimbo ya kutembelea ipo siku utaula tu.
Cc Smart911
anachart na ex kuwa mbogo


sitaki mazoea ya kiwango cha lami aiseeeh