Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,577
Kuna MATATIZO yanatufuata na kuna matatizo tunayakaribisha wenyewe.
Unapokuwa KATIKA ndoa yako na kisha ukaanza "kuchati" na mtu ASIEKUWA jinsia yako kwa mazungumzo ya kuamsha HISIA basi hisia zikiamka ni DHAHIRI kwamba utaanza FIKIRA za kuisaliti NDOA.
Ni TATIZO lililokaribishwa.
Unapokuwa KATIKA ndoa yako na kisha ukaanza "kuchati" na mtu ASIEKUWA jinsia yako kwa mazungumzo ya kuamsha HISIA basi hisia zikiamka ni DHAHIRI kwamba utaanza FIKIRA za kuisaliti NDOA.
Ni TATIZO lililokaribishwa.