DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,900
DaaahNdo ataniambia ameanza lini kuwa mshaurisitaki mazoea ya kiwango cha lami aiseeeh
![]()
Kwa kweli hio tabia hata mimi inanikera kupita maelezo.
DaaahNdo ataniambia ameanza lini kuwa mshaurisitaki mazoea ya kiwango cha lami aiseeeh
![]()
Si tabia yenye afyaDaaah
Kwa kweli hio tabia hata mimi inanikera kupita maelezo.
Umekosea mlango Wa kupitaHa ha ha ha Daah nimepost huku tena

...ya kujitakiaWacha kuchat, hakuna urafiki baina ya mwanamke na mwanaume wasio ndugu... Wanaojifanya marafiki ndio wengi huingia katika matatizo hayo.
![]()
![]()
mapenzi mubashra
Lazima siku itakuja mtatamani kukumbushia enziSi wanasema ukiachana vizuri na ex wako mnaweza mkaendelea kuwa marafiki wazuri tu
Vipi husna kulikoni.....Lazima siku itakuja mtatamani kukumbushia enzi
Ha ha ha ha, unapewa haki yako tu, ila raha sana binti akitaka mwenyewe
unapenda eeDa kweli mkuuHakuna kitu kama hicho. Mkiwa marafiki Kuna mawili unaweza kuanza kumuonea wivu juu ya mahusiano yake alionayo sasa au ukikuta yupo na mahusiano yasiyo na furaha atataka apumzishe nafsi yake kwako. Kitu ambacho ni hatari kwa mahusiano yako ya sasa. Waswahili wanasema ukitumia mua kama fimbo ya kutembelea ipo siku utaula tu.
Aiseee kwa smart huoni wala husikii

Yani natamani niwachokozeee .
Ila bas leo sunday.
Muwe na j2 njema
nawe pia baba mtakatifuhapa hakuna ubishi ni kuelezana live tu bila kuchuja kitu.
sawa mkuuLikoje?Jina lako mkuu, lol