Matatizo kwenye mahusiano

Matatizo kwenye mahusiano

Yeah tunaanzisha makusudi kuwatega wanaume , pia huwa tunatamani na kuwataka pia
Ukikutana na mwanaume dudu mbele msimamo nyuma ohoooooooooooooooo simo

Cc Smart911
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we haumo ila smart yumo
 
Hakuna kitu kama hicho. Mkiwa marafiki Kuna mawili unaweza kuanza kumuonea wivu juu ya mahusiano yake alionayo sasa au ukikuta yupo na mahusiano yasiyo na furaha atataka apumzishe nafsi yake kwako. Kitu ambacho ni hatari kwa mahusiano yako ya sasa. Waswahili wanasema ukitumia mua kama fimbo ya kutembelea ipo siku utaula tu.
Da kweli mkuu
 
Back
Top Bottom