Matatizo kwenye mahusiano

Matatizo kwenye mahusiano

mahondaw wangu... Siku zote hakuna urafiki kati ya mwanamke na mwanaume usiishie kwenye kuchombezana... Wanaita flirting... Huanza kama masihara, masihara huleta mazoea, mazoea hujenga tabia, tabia huleta ukaribu, ukaribu huanzisha mapenzi na hatimae kulana...

Ni mbaya sana mahondaw wangu.. Ndiyo maana hata mimi sipendagi uwe na mazoea na wanaume alafu ukaniambia ni rafiki yangu tu, unajua what will happen... Same kwangu nakaa mbali na mazoea na wanawake ovyo... Sababu nakujua sana vile utakavyo react and act...

Apart from all i respect you sana, i value you sana and i love you mahondaw... Seeing you sad, worried, crying, those are things i will never allow to happen on you...


# Love you mahondaw wangu #

Cc: mahondaw
MTU na mahondaw wakeeeee
 
Kweli kabisa au kua na ties na ex akat una m2 mwngne ni kosa ndo maana uwa tunashauliwa kutulia kwanza bfor uanze mahusiano mapya!
 
Mkuu hata nikimuonea wivu coz siwezi kumuacha yaani so hata nikiona yuko bize na simu huwa sifuatilii anachati na nani
Ni vizuri
coz What you constantly think about drops from your mind into your heart, so you better choose to think on good things
 
Back
Top Bottom