BULICHEKA 2o2o
Member
- Oct 20, 2019
- 61
- 76
Jioni ya Leo nimetapeliwa na mtu anasema yuko Tigo Pesa Makumbusho katuma kimakosa kwangu Tshs 240000.00 akaomba nirudishe kwa namba 0718 89 56 66 na namba 0768 53 61 39 majina ni Beatrice na Lucy Sawa. Baada ya hapo kutuma Ile hela sikuwapata tena.
TCRA kama kusajili namba kwa njia za kisasa, hawa MATAPELI wanatoka wapi tena?
TCRA kama kusajili namba kwa njia za kisasa, hawa MATAPELI wanatoka wapi tena?