matapeli wa mapenzi tanzania

na sisi wadada kwanini tunalazimisha mapenzi jamani? kwani ni lazima?
Kazi kwao wanaolazimisha,nikisoma alama za nyaka a kuona marue rue navua kiatu hata km ni bara baran,
Natembea peku mpaka nipate size yangu,mambo ya kulea mtu mzima ya nn ninao ndugu kibao moshi uko wana shida si bora niwalipie ada wenda wakanisaidia baadae.
 
Kazi kwao wanaolazimisha,nikisoma alama za nyaka a kuona marue rue navua kiatu hata km ni bara baran,
Natembea peku mpaka nipate size yangu,mambo ya kulea mtu mzima ya nn ninao ndugu kibao moshi uko wana shida si bora niwalipie ada wenda wakanisaidia baadae.
heri nidhamini hata yatima kijijini huko asome wauza sura mimi no
 
na sisi wadada kwanini tunalazimisha mapenzi jamani? kwani ni lazima?

hujawahi kuyakosa mapenzi ndio maana huwezi elewa kwanini wenzako wanakua hivyo.lakini ukiyakosa miaka miwili mfululizo utawaelewa tu
 
Asante Smile tatizo kupenda ni upofu ...mwenzio ndo anaona raha anapotapeliwa
kama anaona raha kutapeliwa mbona huwa wanalalamika sana wakishatoswa????hakuna mtu anependa kulizwa kwenye swala la mali hata kama ana milions
 
mabinti mabinti mabinti hii ni kutoka kwa wadada wafanyakazi tanzania(wwt)
kunawimbi la vijana especially wa chuo wanapenda kushobokea wadada wanaofanya kazi.inakuwa ni kazi kwako kumlipia ada,akae kwako.umlishe umvishe na mapenzi umpe.akimaliza chuo mapenzi kwishney
nimeshuhudia wadada watatu wapo kwenye huu mtego.vijana wenyewe hawajatulia wala nini.kuna mdada wa kwake kampa na gari kabisa,.asubuhi wanaondoka wote hme kwa mdada anamwacha mdada job anampitia demu wake wa chuo haooo chuo kwa raha zao
na katika tafiti zilizofanywa hapa mjini wanaume wanaopenda kulelewa ni wa iringa,songea,sumbawanga na singida. matapeli wa mapenzi.
mimi wachaga,wapare ,wasukuma,wagita.wahaya pamoja saaaana na nyie wakuu. mimi na nyie damdam huko sumbawanga aku babu
ila ushauri wangu kwa wanawake wenzangu
msipende kufanya maisha kuwa magumu,sio kwamba mtafute watu wenye kipato la maisha ni popote
msiwe na pupa kutafuta wapenzi usipanic by the way sio lazima.ishi maisha yako jinsi utakavo na sio watu watakavo. maisha ni haya haya furahia maisha
hv utaakaaje na mtu akupi furaha moyoni?
unaishi na mwanaume nyumbani kwako hana hata future na wewe ,kwanza anakupatia aibu kwa ndugu zako,mwenyewe si mkaaji kesho anaondoka utaweka wapi sura yako
mimi namshukuru sana mungu kwa busara alionijalia mimi siwezi kuishi na mwanaume kinyumba iwe kwangu au kwake
kama mwanaume ana malengo na wewe afate taratibu .huu ulimbukeni jamani unawacosti wanawake.
mimi mwenyewe nilishawai kuwa na mpenzi loh namshukuru mungu kunitoa huko.yaani very iresponsible lakini mimi nilikuwa naona sawa tu as long tunapendana.kumbe nilikuwa najidanganya.usikae na mtu kwa kujidanganya
take this example unavaa kiatu no 9 ukaenda shop ukakuta kiatu no 7 kizuuuri sio saizi yako kinakubana ukakichukua.nini kitatokea?
dunia ni kubwa hii wanaume wapo kibao tulia muombe mungu.
always mungu anajibu nothing bad comes from heaven
have a nice wkend
bye
Hapo kwenye red ngoja aje TaMuganyizi na Rweye watakujibu Smile..Kama yamekutata tupe live kama ni wewe.Jamaani wote makabila mliotajwa mlimtapli SMILE wa watu jamani?Sio vizuri.
 
Ni mada nzuri ila tatizo langu ni kwamba wewe umekuwa bias sana, tatizo hilo lipo pande zote ni vigumu kusema hawa ni zaidi ya hao ila utapeli upo.
 
na katika tafiti zilizofanywa hapa mjini wanaume wanaopenda kulelewa ni wa iringa,songea,sumbawanga na singida. matapeli wa mapenzi.
mimi wachaga,wapare ,wasukuma,wagita.wahaya pamoja saaaana na nyie wakuu. mimi na nyie damdam huko sumbawanga aku babu
bye

Mbona mimi ninaowajua wote ni wachaga sasa !
 
mabinti mabinti mabinti hii ni kutoka kwa wadada wafanyakazi tanzania(wwt)
kunawimbi la vijana especially wa chuo wanapenda kushobokea wadada wanaofanya kazi.inakuwa ni kazi kwako kumlipia ada,akae kwako.umlishe umvishe na mapenzi umpe.akimaliza chuo mapenzi kwishney
nimeshuhudia wadada watatu wapo kwenye huu mtego.vijana wenyewe hawajatulia wala nini.kuna mdada wa kwake kampa na gari kabisa,.asubuhi wanaondoka wote hme kwa mdada anamwacha mdada job anampitia demu wake wa chuo haooo chuo kwa raha zao
na katika tafiti zilizofanywa hapa mjini wanaume wanaopenda kulelewa ni wa iringa,songea,sumbawanga na singida. matapeli wa mapenzi.
mimi wachaga,wapare ,wasukuma,wagita.wahaya pamoja saaaana na nyie wakuu. mimi na nyie damdam huko sumbawanga aku babu
ila ushauri wangu kwa wanawake wenzangu
msipende kufanya maisha kuwa magumu,sio kwamba mtafute watu wenye kipato la maisha ni popote
msiwe na pupa kutafuta wapenzi usipanic by the way sio lazima.ishi maisha yako jinsi utakavo na sio watu watakavo. maisha ni haya haya furahia maisha
hv utaakaaje na mtu akupi furaha moyoni?
unaishi na mwanaume nyumbani kwako hana hata future na wewe ,kwanza anakupatia aibu kwa ndugu zako,mwenyewe si mkaaji kesho anaondoka utaweka wapi sura yako
mimi namshukuru sana mungu kwa busara alionijalia mimi siwezi kuishi na mwanaume kinyumba iwe kwangu au kwake
kama mwanaume ana malengo na wewe afate taratibu .huu ulimbukeni jamani unawacosti wanawake.
mimi mwenyewe nilishawai kuwa na mpenzi loh namshukuru mungu kunitoa huko.yaani very iresponsible lakini mimi nilikuwa naona sawa tu as long tunapendana.kumbe nilikuwa najidanganya.usikae na mtu kwa kujidanganya
take this example unavaa kiatu no 9 ukaenda shop ukakuta kiatu no 7 kizuuuri sio saizi yako kinakubana ukakichukua.nini kitatokea?
dunia ni kubwa hii wanaume wapo kibao tulia muombe mungu.
always mungu anajibu nothing bad comes from heaven
have a nice wkend
bye

na hisi wameshakutenda mwanadashosti na hapo ushapata cha kujifunza kila la kheli na search mpya ya mpenzi wa kiume..
 
Poleni sana dada zangu. Naamini watakusia na watajifunza kupitia mifano uliyoainisha hapa. Japo kusaidiana kupo lakini sio kupita kipato auk kizidi uwezo. Wapo wanaosaidiwa na wanajitambua na wanarudisha fadhila/kushehimu ukarimu. sio wote wanabweteka.
 
na katika tafiti zilizofanywa hapa mjini wanaume wanaopenda kulelewa ni wa iringa,songea,sumbawanga na singida. matapeli wa mapenzi.
mimi wachaga,wapare ,wasukuma,wagita.wahaya pamoja saaaana na nyie wakuu. mimi na nyie damdam huko sumbawanga aku babu
ila ushauri wangu kwa wanawake wenzangu

baadhi ya hayo makabila ya ombaomba ni yale ya yule matonya.........................ninashangaa dodoma haimo kwenye orodha ya ombaomba.........saidia masikini mie........
 
smile kwa hasira uliyo nayo, naona uliendwa

acha kumpakazia mwenzako.....................yeye kasema ya kuwa anazotaarifa siyo zake binafsi.................sasa huu uelewa mpya mwenetu umeutoa wapi?
 
Ni mada nzuri ila tatizo langu ni kwamba wewe umekuwa bias sana, tatizo hilo lipo pande zote ni vigumu kusema hawa ni zaidi ya hao ila utapeli upo.

binti akute ugali umeiva na umepakuliwa mezani khalafu abanduke.........sijawahi kuona hili.......
 
Kazi kwao wanaolazimisha,nikisoma alama za nyaka a kuona marue rue navua kiatu hata km ni bara baran,
Natembea peku mpaka nipate size yangu,mambo ya kulea mtu mzima ya nn ninao ndugu kibao moshi uko wana shida si bora niwalipie ada wenda wakanisaidia baadae.

unakuwa umewekeza mtaji kwenye benki chapa mtu tatizo ni kuwa wakati mwingine hailipi................jamaa baada ya kuvuna huishia na kitu kipya ambacho hakuwa anakifahamu wakati alipokuwa na wewe.......................it is a tough World.........
 
Hapo kwenye red ngoja aje TaMuganyizi na Rweye watakujibu Smile..Kama yamekutata tupe live kama ni wewe.Jamaani wote makabila mliotajwa mlimtapli SMILE wa watu jamani?Sio vizuri.

wahaya tunahaya sana ya kumbomu mtoto wa watu......yaani hiyo aibu uipeleke wapi na ni wazito sana kutoa ahadi hewa.....................we only speak wisdom...............
 
Yakinikuta ujue nimependa kufanya hivyo. . . hamna nnachofanya kwa lazima linapokuja swala la mahusiano.

ulazima ni pale umependa ndiyo shuruti yenyewe inakuja tena bila zengwe...................unajikuta unadaiwa na nafsi yako kujibu mashambulizi na hata pale hujaombwa kufanya hivyo ili mradi uwe na kipenzi wako....................lol.

kumbe penzi lenyewe lilikwishaota mbawa siku mingi njemba inahesabu siku tu kumalizia mradi wake......
 
Back
Top Bottom