Habari wana Jf nipo hapa Arusha naona niwape hii huenda itasaidia, kuna watu wanajidai wao ni madalali wa safari za Loliondo kwa Babu na kuchukua pesa za watu na kuwaambia magari yatakuja jioni na watu wataondoka kwa pamoja, wengine wanatoa hadi tiketi "feki" kisha huingia mitini, kuwa makini usilipe bila kuona ngari!!
TAARIFU WENGINE PIA KABLA HAWAJALIZWA,
TAARIFU WENGINE PIA KABLA HAWAJALIZWA,