Matangazo ya Zanzibar Bwana utachoka mwenyewe!!

Sasa wewe unadhani nimelitunga hilo jina, yaani hilo lipo, hebu cheki na hii orodha
1-MAKUNDUCHI
2- BWEJUU
3-KICHAKA PUNDA
4-KITOPE
5-KIBOJE
6-DARAJA BOVU UNASHUKA SKULI YA MTO PEPO
7-MTUNDANI
8-BINGUNI
7-KIEMBE SAMAKI
8-JIA LA UZI
9-MFEREJI MARINGO
10-TUNGUU
and so much more, ukiwa Zenj utacheka hadi ufariki maana kila kitu kwako wewe mbara ni kituko, cheki sentensi hii BWANA PANDU ABDALA SUDI KAMTOA MWANAE SKULI YA KIBONDENI KAMTIA DOLE- yaani mtoto kahamishwa kutoka shule ya kibondeni kapelekwa shuli ya dole kazi kwako sas, ktk gari ze2 zile mzuri nana maana mnatazamana mtu hushuka pale anapofika mlangoni kwake, utasikia WEYE KHEE NITIE HAPOOOO........................... inakutosha kwa leo

Kibandamaiti!
 
Electronic cigarettes hazitowi moshi:

images

electronic_cigarette_diagram.jpg
Hii Sigara ndio inayofaa kwa hilo Tangazo la hapo juu Yakheeeeeeeeeeee
 
Sasa wewe unadhani nimelitunga hilo jina, yaani hilo lipo, hebu cheki na hii orodha
1-MAKUNDUCHI
2- BWEJUU
3-KICHAKA PUNDA
4-KITOPE
5-KIBOJE
6-DARAJA BOVU UNASHUKA SKULI YA MTO PEPO
7-MTUNDANI
8-BINGUNI
7-KIEMBE SAMAKI
8-JIA LA UZI
9-MFEREJI MARINGO
10-TUNGUU
and so much more, ukiwa Zenj utacheka hadi ufariki maana kila kitu kwako wewe mbara ni kituko, cheki sentensi hii BWANA PANDU ABDALA SUDI KAMTOA MWANAE SKULI YA KIBONDENI KAMTIA DOLE- yaani mtoto kahamishwa kutoka shule ya kibondeni kapelekwa shuli ya dole kazi kwako sas, ktk gari ze2 zile mzuri nana maana mnatazamana mtu hushuka pale anapofika mlangoni kwake, utasikia WEYE KHEE NITIE HAPOOOO........................... inakutosha kwa leo

ndugu u made my dei, maana nimecheka mpaka machozi halafu kitu kingine hawawezi kutamka majina ya watu vizuri hasa wakiwa sio wazenji lazima watayakosea.
 
Sasa wewe unadhani nimelitunga hilo jina, yaani hilo lipo, hebu cheki na hii orodha
1-MAKUNDUCHI
2- BWEJUU
3-KICHAKA PUNDA
4-KITOPE
5-KIBOJE
6-DARAJA BOVU UNASHUKA SKULI YA MTO PEPO
7-MTUNDANI
8-BINGUNI
7-KIEMBE SAMAKI
8-JIA LA UZI
9-MFEREJI MARINGO
10-TUNGUU
and so much more, ukiwa Zenj utacheka hadi ufariki maana kila kitu kwako wewe mbara ni kituko, cheki sentensi hii BWANA PANDU ABDALA SUDI KAMTOA MWANAE SKULI YA KIBONDENI KAMTIA DOLE- yaani mtoto kahamishwa kutoka shule ya kibondeni kapelekwa shuli ya dole kazi kwako sas, ktk gari ze2 zile mzuri nana maana mnatazamana mtu hushuka pale anapofika mlangoni kwake, utasikia WEYE KHEE NITIE HAPOOOO........................... inakutosha kwa leo

ahahahahahah, nimecheka leo mpaka nusura nife, nitazuka zenj one day nikacheke live..
 
Nilipokuwa nikifundisha sekondari niliwahi kukutana na majina yenye makwazo sana. Siku moja niliongoza msafara wa wanafunzi wangu kwenda kufanya 'debating' na shule nyingine, nikakuta mwalimu mwenyeji wangu anaitwa Mr Kasenge. Watoto wakawa wanafanyia utundu lile jina, mara kwa mara wakawa wanarudia "I thank Mr Kasenge for welcoming us....., as Mr Kasenge said during the introduction....!" Ikawa ni vicheko tu!

Pia tulikuwa na shule rafiki (sister school) ya UK ambayo wanafunzi wake walikuwa wanatutembelea kila mwaka. Siku moja nikapewa jukumu la kuwasindikiza safari ya Zanzibar kutembea, tukakutana na mwenyeji aliyejitambulisha kwa jina la Mr Dadi Faki Dadi, halafu akasisitiza aitwe kwa kifupi Faki! Wale watoto wa kizungu liliwasumbua sana hili jina!
 
Back
Top Bottom