Matangazo ya vifo: Mbwembwe Kibao!

Familia ya Mama mchungaji Mrs. Dr. Nanihii....
Marehemu alikuwa akifanya kazi ya utendaji mkuu na shirika la UN kitengo cha chakula na kazi kwa miaka zaidi ya ishirini....
Mipango ya mazishi inafanyika hoteli ya Kunduchi beach hotel karibu na nyumbani kwa marehemu!
Kazi ni hapo kwa wafikiwa habari...
lol!

Mnabaki kujiuliza kama ni historia ama wanamtafutia kazi marehemu! kwa kusoma C.V tih tih tih:D
 
Katavi, Mfumwa na Maane kilio cha mtoa maada ni uhalisia; hivi redio Mbwembwe kule Mbinga ama Kiboko FM kule Dododma ziko online? Mtoa maada anasema tujaribu kuwa wakweli hata hizi major FMs ni chache sana zipo online na ukweli ni kuwa email imekuwa ni mfumo wa haraka pia kuliko hiyo mnayoidai hapa kuwa huenda wakasikia wanaomfamahu then watamfahamisha! AAh haikai vizuri hii; reliability yake ni ndogo mno! Tuwe wa kweli nafsini mwetu!
 
Katavi, Mfumwa na Maane kilio cha mtoa maada ni uhalisia; hivi redio Mbwembwe kule Mbinga ama Kiboko FM kule Dododma ziko online? Mtoa maada anasema tujaribu kuwa wakweli hata hizi major FMs ni chache sana zipo online na ukweli ni kuwa email imekuwa ni mfumo wa haraka pia kuliko hiyo mnayoidai hapa kuwa huenda wakasikia wanaomfamahu then watamfahamisha! AAh haikai vizuri hii; reliability yake ni ndogo mno! Tuwe wa kweli nafsini mwetu!
Kuna watu humu JF hawapitishi siku bila kupinga kitu........... hawaishi kwa uhalisia........ Hivi huyo mtu aliyeko huko ulaya kwa nini msimwambie kwa simu, e-mail badala ya hizi FM radios...??? FM redio zilizoko ONLINE zipo ngapi...??? Utakapotangaza redioni tutakaosikia ni sisi wa mbagala, manzese, Tandale, mchambawima.........etc ambao ndo tutahudhuria........... huyo wa ulaya mpeni taarifa aje kwenye arobaini/hitma..........
 
Kuna watu humu JF hawapitishi siku bila kupinga kitu........... hawaishi kwa uhalisia........ Hivi huyo mtu aliyeko huko ulaya kwa nini msimwambie kwa simu, e-mail badala ya hizi FM radios...??? FM redio zilizoko ONLINE zipo ngapi...??? Utakapotangaza redioni tutakaosikia ni sisi wa mbagala, manzese, Tandale, mchambawima.........etc ambao ndo tutahudhuria........... huyo wa ulaya mpeni taarifa aje kwenye arobaini/hitma..........

Mkuu hapo unakuta watajwa wamesha arifiwa tayari kwa njia ya haraka zaidi simu au e-mail, lakini bado na kwenye redio eti wanatumiwa taarifa ilhali hata uwezekano wa wao kusikilizia hiyo taarifa humo haupo....
its all about show-off......
 
Mkuu hapo unakuta watajwa wamesha arifiwa tayari kwa njia ya haraka zaidi simu au e-mail, lakini bado na kwenye redio eti wanatumiwa taarifa ilhali hata uwezekano wa wao kusikilizia hiyo taarifa humo haupo....
its all about show-off......
Labda wanataka awasaidie kununua jeneza la bei mbaya............ Na wengine utakuta hawajihusishi na chochote juu ya kilichomuondolea uhai marehemu............ eg Ugonjwa
 
Jaamni kuna ubaya gabni hao wa ulaya wakipewa taarifa? Radio hazisikiki kule ndio but wapo watu wanaowezasikia na kuwapasha habari wahusika. Besides matangazo ya vifo hayamaanishi yanawahusu wahusika peke yao, mfano mimi nilifahamu juu ya msiba wa mama yake rafiki yangu ambaye nilikutana naye huko ulaya na kupitia matangazo hayo ndo nikajua kuwa yule alofariki ni mamake Esther rafiki yangu wa ulaya na nilikwenda msibani (hapa Dar) na kuungana naye katika majonzi. So sidhani kama huwa ni mbwembwe bana.

Mbembwe nazisemea kwenye mazishi na hughuli nzima za maziko watu misuti na mikofia utadhani tunashindana!! Asili yetu misiba mwake khanga na kuomboleza kwa sana sasa siku hizi mijisuuuuti na kokoko za kufa mtu huku miguu imesheheni vikuku

Misiba zamani bwana, hata ndala wafanya shikiwa na wapambe.
 
One Things I dont like kabisaaaa!
........Kupiga mipicha kwenye msiba na mivideo............sasa mimi sielewagi, nani huwa anakuja kuangalia hizo picha na video?

Kumbukumbu pekee ya mpendwa wangu nataka iwe ni ie unzuri, ile inayonifanya nilie....nalia kwa sababu mpendwa wangu sitakuwa nae tena. nataka kukumbuka mambo mazuri, sio mabaya.

Keep the good memories, remember those good times, not during you were down and mourning.
 
Jingine kama hilo ni hili, leo asubuhi nimemsikia mke wa Makamba(katibu wa ccm) akitangaza kifo cha mama yake mzazi, kilichonishangaza, ni kumtumia hata mme wake(Makamba), Ina maana hata simu hakuna ya kumpigia mmewe?, kuugua hadi kufa huyu makamba hajui?,huyu mke mpaka anaenda kutuma tangazo hili makamba hajui?, inashangaza kweli.
 
Jingine kama hilo ni hili, leo asubuhi nimemsikia mke wa Makamba(katibu wa ccm) akitangaza kifo cha mama yake mzazi, kilichonishangaza, ni kumtumia hata mme wake(Makamba), Ina maana hata simu hakuna ya kumpigia mmewe?, kuugua hadi kufa huyu makamba hajui?,huyu mke mpaka anaenda kutuma tangazo hili makamba hajui?, inashangaza kweli.

hapo sasa ndo mie natatizika.......
 
du yani utafikiri labda kwa kutaja vyeo na ulaya labda marehemu atafufuka lakini wapi watu wanataka umaarufu kupitia marehemu
 
Mbembwe nazisemea kwenye mazishi na hughuli nzima za maziko watu misuti na mikofia utadhani tunashindana!! Asili yetu misiba mwake khanga na kuomboleza kwa sana sasa siku hizi mijisuuuuti na kokoko za kufa mtu huku miguu imesheheni vikuku

Misiba zamani bwana, hata ndala wafanya shikiwa na wapambe.

Badala ya kuomboleza sasa akina siye tumebaki kuangali cleavage na mambo kama hayo misibani!
 
......Buji buji leo umenichekesha sana, kweli kabisa hivi ni mbwembwe tu na ulimbukeni.

Kweli kabisa hizi radio za bongo wala hazifiki huko ughaibuni lakini watu kwa kupenda misifa wanataka umma ujue kwamba marehemu ana ndugu wanaishi majuu...........lol.
 
Natanguliza samani zangu kwa nitakao waudhi ila nimeona nibora nilweke hapa labda mtazao wangu unaweza kua hasi.
Siku zote kwenye matangazo ya vifo hasa kwenye radio mara nyingi tunawakumbuka ndugu matajiri , wenye vyeo mbalimbali na walioko nje ya nchi.. Mfano.
HABARI ZIMFKIE NDUGU ... AKIWA WASHINGTON MAREKANI.. DR... AKIWA SAFARINI UINGEREZA.... PRO... AKIWA DAR ES SALAAM.
Sababu hasa ni watu wajue familia /ukoo una watu wazito au?
 
Natanguliza samani zangu kwa nitakao waudhi ila nimeona nibora nilweke hapa labda mtazao wangu unaweza kua hasi.
Siku zote kwenye matangazo ya vifo hasa kwenye radio mara nyingi tunawakumbuka ndugu matajiri , wenye vyeo mbalimbali na walioko nje ya nchi.. Mfano.
HABARI ZIMFKIE NDUGU ... AKIWA WASHINGTON MAREKANI.. DR... AKIWA SAFARINI UINGEREZA.... PRO... AKIWA DAR ES SALAAM.
Sababu hasa ni watu wajue familia /ukoo una watu wazito au?

Hapo kwy red
umeshajijibu mwenyewe
 
Mkuu kwa uelewa wangu ni kuwa lengo hasa la matangazo yale huwa ni kutoa taarifa kwa watu wengi wanaomfahamu marehemu ama wafiwa na ambao ni aidha hakuna namna ama itachukua muda mrefu kuwajulisha. Sasa ile ya 'taarifa ziwaendee desh na desh wakiwa desh desh' huwa ni kukamilisha taratibu tu. Ila sentensi ya 'pamoja na ndugu jamaa na marafiki popote walipo' huwa ndiyo inabeba lengo zima la lile tangazo..
 
Hapo kwy red
umeshajijibu mwenyewe
Mtoa hoja ana hoja ya msingi wala hupaswi kumbeza. ;i pia nishasikia mara kadhaa eti habari ziwafikie Mzito Kabwela wa Ukraine..... Ni kweli Mzito anasikiliza Radio hiyo kwa wakati huo akiwa Ukraine? Na katika ulimwengu wa sasa taarifa ya namna hiyo ina maana? Kwangu mimi matangazo ya vifo redioni ni upuuzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom