Matangazo ya makampuni ni anasa katika nchi yetu masikini!

Matangazo ya makampuni ni anasa katika nchi yetu masikini!

Hawa walevi wa Lumumba sijui walienda shule kusomea ujinga? Tangu lini serikali ikaingilia uendeshaji wa kampuni binafsi?
Serikali kuwa na chombo cha usimamizi haimaanishi kuingilia kampuni binafsi.
 
Rejea mada yangu viziri...wewe unaona ni sawa kutumia milioni kumi kwenye matangazo wakati kuna watoto wanakaa chini?halafu matangazo yenyewe yanamlenga mtu anayelala njaa?

Mkuu kama kila mmoja anesimama vizuri kwenye nafasi yake wala hali isingekua mbaya kiasi hiki.
Wewe unaona sawa kampuni kulipwa zaidi ya asilimia 90 kwa kazi ambayo haikufanyika tena kwa ukiukwaji mkubwa wa kanuni za manunuzi?
Unaona ni sawa tuhuma kubwa kama za escrow na epa kuendeshwa kisiasa zaidi kuliko kujali maslahi ya wananchi? Unaona ni sawa kivuko kibovu kununuliwa kwa bei kubwa isiyona tija na wahusika wapi kimya?

Huko unakopendekeza pesa za makampuni zielekezwe kusaidia kumeoza, pesa zitaenda na zitapigwa tu. Hayo mambo yanawezekana tu kukiwa na uwajibikaji na uzalendo. Acha makampuni yafanye kazi zao mkuu.
 
Matangazo yarandane na ubora wa huduma "TBS" wapite humo wahakikishe kinachotangazwa ni sahihi sio utapeli au ulaghai.Jingalao bana wee kweli kichaa!😵
 
Serikali kuwa na chombo cha usimamizi haimaanishi kuingilia kampuni binafsi.
Hwezi kuweka chombo cha kudhibiti matangazo ya kampuni binafsi.Kampuni bila kumarket product zake haziwezi kujulikana wala kununulika.
 
Mkuu kama kila mmoja anesimama vizuri kwenye nafasi yake wala hali isingekua mbaya kiasi hiki.
Wewe unaona sawa kampuni kulipwa zaidi ya asilimia 90 kwa kazi ambayo haikufanyika tena kwa ukiukwaji mkubwa wa kanuni za manunuzi?
Unaona ni sawa tuhuma kubwa kama za escrow na epa kuendeshwa kisiasa zaidi kuliko kujali maslahi ya wananchi? Unaona ni sawa kivuko kibovu kununuliwa kwa bei kubwa isiyona tija na wahusika wapi kimya?

Huko unakopendekeza pesa za makampuni zielekezwe kusaidia kumeoza, pesa zitaenda na zitapigwa tu. Hayo mambo yanawezekana tu kukiwa na uwajibikaji na uzalendo. Acha makampuni yafanye kazi zao mkuu.
Sio Sawa mkuu?ni lini niliwahi kusema haya ni sawa?

Haya sio sawa na ndio maana yaliibuliwa na serikali na yanafanyiwa kazi na serikali.

Mada yangu inajikita kwenye hoja ya kuwa na chembe ya aibu....inakuwaje mzungu atoke marekani kuja kutusaidia madawati 40 wakati kuna makampuni yaliyopo nchini yanaacha(na sio kushindwa) kuchukua jukumu hilo na sisi tuanaendelea kuona ni sawa tu??

Leo sipo kiitikadi !!
 
Hwezi kuweka chombo cha kudhibiti matangazo ya kampuni binafsi.Kampuni bila kumarket product zake haziwezi kujulikana wala kununulika.
Hivyo vyombo vipo hata kwa wenzetu huko mnapoiga hayo matangazo
 
Yaani Kuna watu wengine wanaanzisha uzi humu, unajaribu kupata picha ya huyo mtu yukoje na akili yake inafanya kazi kweli? Na elimu kweli anayo? Yaan mm Nina biashara yangu, kampuni yangu, hela zangu! Halafu eti uje unipangie eti nisitangaze? Kwa lipi? Labda kama hayo matangazo yanakikuka maadili. Lakini vinginevyo hamna....
Nami bado nashangaa maana ya hili bandiko lakini siipati.!
 
jingalao , nafikiri huu ni wito kwa serikali kujitafakari na kuangalia upya sheria zinazoongoza haya makampuni.

Lakini inabidi wao wajisahihishe ili waweze kuaminika kama partners. Hata kodi, watu watatoa kwa moyo mkunjufu pale wanapoona pesa inasimamiwa vizuri na vitu vya Maendeleo vinafanyika.
 
Mleta maada mwenyewe ni jingalo, tena jingalo kutoka ccm, siasa imemshinda baada ya buku saba kusitiswa
Hovyooooooooo kabisa uyu jingalo
 
Mimi nakuelewa kamanda Chige, sidhani kama mleta mada atakuwa nawe.

Na hata ukitaka uwafikie Wahadzabe kuna mambo mengi kama logistics na malazi, chakula na vingine.

Lakini yeye ameoanisha kati ya matumizi ya hiyo pesa na kodi inayolipwa.

Sifahamu lengo lake hapo.

Ila matangazo yako ya aina nyingi ila yanayowika Zaidi ni haya ya matangazo ya kupitia media au "advertising messages" yaani kuanzia magazeti redio, runinga mpaka blogs na text messages.

Halafu kuna haya matangazo ambayo nafikiri ndiyo yanawika sana nchini kwetu ya commercial ads abayo yana lengo la kuongeza idadi ya wateja kwa kupanua huduma na na bidhaa yaani unafungua duka la na hapo hapo unagawa simu mbili tatu za bure na hii ndio inaitwa "Branding" yaani mteja anatumika na anatumiwa hapohapo kukuza jina la kampuni.

Sasa mara nyingi kunakuwa na sponsors kwa hii shughuli je sponsors huyu anafahamu gharama halisi ya shughuli za matangazo haya.

Nafikiri utanielewa kamanda maana wewe unaonekana unao utaalam wa hili eneo.
Dah! Mkuu wangu Richard cjakusoma, it's a if nimeamka na hangover!

Swali lako naona ni kama lime-base kwenye paragraphs zako 3 za mwisho (ndivyo nilivyoelewa kwahiyo unaweza kunirekebisha if am wrong) kwamba, assume nimefungua duka la kuuza saruji lakini kila mteja anayekuja; nampa na box moja la tiles FREE but hizi tiles nami nimepata free toka kwa sponsor anayelenga kuitangaza hiyo bidhaa yake ya tiles.

Kwahiyo unachouliza ni ikiwa huyo sponsor anafahamu gharama halisi za matangazo ya hizo tiles; au? Btw, gharama zipi hasa cuz' ikiwa mzigo umetoka kwenye stock yake it's obvious atafahamu! Anyway, hebu liweke swali lako vizuri!
 
Mleta maada mwenyewe ni jingalo, tena jingalo kutoka ccm, siasa imemshinda baada ya buku saba kusitiswa
Hovyooooooooo kabisa uyu jingalo
Usimjadili mleta hoja jadili hoja iliyopo....
 
Hizo ni private sector.Zipo kwenye ushindani wa kibiashara

Lakini kama zina gharama kubwa na hazilipi kodi zinatusaidiaje kiuchumi? Kwanza hata hazipo kwenye soko la hisa ili mapato yao halisi yaweze kujulikana. Kweli kuna haja ya TCRA na Tra kuchunguza mahesabu yao kikamilifu.
 
Kila siku msaada madawati mtayaweka chini ya miti au wapi, kila siku shule zinaezuliwa paa zake au kudondoka kuta zake hilo alionekani kama tatizo elimu ya Tanzania aielekezi mtoto kuwa nani bila kuajiriwa matokeo yake mtu anasoma kingine anafanya kingine hili bado sio tatizo tatizo madawati.
 
Una utaalaamu kwenye hii field ...huko siji...labda nikuulize swali ...je ulisikia lile sakata la kuzimwa mtambo wa kutambua idadi ya miito au huduma za simu?

Ilionekana jambo hilo limefanyika makusudi ili kuidanganya serikali na hivyo kukwepa kodi.

Mada yangu inalenga huu ukwepaji kodi halafu tunashuhudia a lot of investment kwenye matangazo ambayo kwa maoni yangu hayana kiwango cha thamani inayolipiwa.

Ni kweli wajibu wa kwanza wa kuhakikisha madawati yapo shuleni unamuhusu serikali lakini pia wajibu huo upo kwa wadau mbalimbali makampuni haya yakiwemo....yaani makampuni haya yarudishe sehemu ya faida ya uwekezaji kwa jamii.
Kwanza, mfano wa huo mtambo wa simu hapa haungii cuz' one is illegal practice and another ni legal practice! Ingekuwa mada ya possible practices za ukwepaji kodi tungeenda pamoja-- for instance, ikiwa unaona wanafanya massive contributions kwenye useless issues!

Lakini linapokuja suala la marketing, that's another issue. Unachosema ni kwamba wanafanya investment kubwa kwenye matangazo wakati matangazo yenyewe hayana kiwango cha thamani inayolipiwa! What are you insinuating here? Kampuni za simu kwa mfano zinategemea communication channels owned by other business entities! Ikiwa umeenda na tangazo lisilo na viwango pale ITV that's your problem lakini ITV watakupa quotations za gharama za matangazo kwa majira mbali mbali throughout the day-- kwa sababu, gharama ya tangazo linalorushwa saa 5 asubuhi ni tofauti na gharama ya tangazo linalorushwa saa 2 usiku; keeping airtime ya tangazo constant! Hizi gharama haziwekwi na Tigo au Vodacom bali na ITV au Clouds FM! Sasa utasemaje wanatumia gharama kubwa? Ndo maana tangia mwanzo nimekuambia labda useme watumie media chache zaidi badala ya tangazo hilo hilo kupeleka in more than 1 radio stations kwa vipindi mbali mbali hali kadhalika iwe hivyo upande wa tv! Hata hivyo, narudia... lengo lao la awali hapo ni kufikia audience kubwa zaidi kwahiyo huwezi kumwekea barriers za kufanikisha goal yao ya awali! But all in all, kama issue ni kodi mbona hili jambo lipo wazi kabisa... Kampuni X (say) inakwepa kodi kwa kutumia 5 billion kwenye matangazo ambazo wanazilipa kwa Kampuni Y! Sasa tatizo lipo wapi? Zifuate hizo 5 billion kwa kampuni Y ukazitungue kodi ambayo ingelipwa na X... simple!
 
Kuboreshwa kufikia kiwango cha kimataifa au kutengeneza matangazo bora? Listen, people invest money to design yale matangazo kwahiyo lazima uhakikishe una design catchy ads ili ku-grab attention!!

Na hiyo unayoita matangazo ya kila siku; ningekushauri jiongezee maarifa kwenye kitu kinachoitwa Product Life Cycle! And am telling you, endapo kampuni za kibiashara zingekuwa na namna ya kukwepa marketing basi wangeshukuru ile mbaya cuz' marketing ni very expensive sema ndo vile haikwepeki in competitive environment!!

Halafu hizo habari za madawati na hospital kukosa dawa zinawahusu nini business firms? Provision of social services ni purely kazi ya serikali lakini sio ya Tigo wala Vodacom! Serikali si wanakusanya kodi? Hata hayo mapesa mengi yanayotumika kwenye matangazo si yanaenda kwenye other business entities ambako pia serikali inakusanya kodi?! Sasa how come tena ionekane uhaini mimi kuwafikia wateja wengi niwezavyo kv tu wewe serikali ( don't take it personal) umeshindwa kutimiza wajibu wako wakati wajibu wa kwangu mimi wa kukulipa kodi nimeshautimiza! And probably, on top of that nina corporate social responsibility program na kujitwisha majukumu uliyotakiwa kufanya wewe! Kama kodi haitoshi, the smart way sio kuniambia ni namna gani niwafikie wateja wangu bali nI wajibu wako wewe mwenyewe na timu yako kubuni vyanzo vingi zaidi vya mapato!

Kwa maneno mengine ni kwamba mtoa mada anajaribu kusema kwamba MPANGAJI hatakiwi "kula wali kuku" kila siku kwa sababu MWENYE NYUMBA ameshindwa kuwalipia wanae ada ya shule ilhali mpangaji analipa kodi ya nyumba kama kawaida.
 
Kwanza, mfano wa huo mtambo wa simu hapa haungii cuz' one is illegal practice and another ni legal practice! Ingekuwa mada ya possible practices za ukwepaji kodi tungeenda pamoja-- for instance, ikiwa unaona wanafanya massive contributions kwenye useless issues!

Lakini linapokuja suala la marketing, that's another issue. Unachosema ni kwamba wanafanya investment kubwa kwenye matangazo wakati matangazo yenyewe hayana kiwango cha thamani inayolipiwa! What are you insinuating here? Kampuni za simu kwa mfano zinategemea communication channels owned by other business entities! Ikiwa umeenda na tangazo lisilo na viwango pale ITV that's your problem lakini ITV watakupa quotations za gharama za matangazo kwa majira mbali mbali throughout the day-- kwa sababu, gharama ya tangazo linalorushwa saa 5 asubuhi ni tofauti na gharama ya tangazo linalorushwa saa 2 usiku; keeping airtime ya tangazo constant! Hizi gharama haziwekwi na Tigo au Vodacom bali na ITV au Clouds FM! Sasa utasemaje wanatumia gharama kubwa? Ndo maana tangia mwanzo nimekuambia labda useme watumie media chache zaidi badala ya tangazo hilo hilo kupeleka in more than 1 radio stations kwa vipindi mbali mbali hali kadhalika iwe hivyo upande wa tv! Hata hivyo, narudia... lengo lao la awali hapo ni kufikia audience kubwa zaidi kwahiyo huwezi kumwekea barriers za kufanikisha goal yao ya awali! But all in all, kama issue ni kodi mbona hili jambo lipo wazi kabisa... Kampuni X (say) inakwepa kodi kwa kutumia 5 billion kwenye matangazo ambazo wanazilipa kwa Kampuni Y! Sasa tatizo lipo wapi? Zifuate hizo 5 billion kwa kampuni Y ukazitungue kodi ambayo ingelipwa na X... simple!
Naona unataka kuhamishia lawama kwenye Broadcasting na media companies ...nashukuru umeikumbusha serikali kuhusu kuifuatilia hii aina ya kodi ambayo naamini haitozwi na ndio maana makampuni haya yanajiachia.....

Jaribu kunielewa tena na tena ....unadhani ni sawa kwa makampuni haya kuifikia audience kwa style hii wanayoitumia keeping in mind kwamba audience hii ni ya kitanzania?

Is there an alternative to reach even larger audience by using a new strategy, let say by improving your network at peripheral areas??

Kwa mfano jenga mnara kijijini na uchangie madawati kijijini hapo na ikiwezekana tengeneza wakala wako hapo kijijini....hili naliona ni sahihi kwa kampuni,Serikali na jamii ya kijiji husika.

Sioni sababu ya kuwa na makampuni meengi yasiyokuwa na impact kwenye maendeleo ya jamii yetu....

Ama kama yanataka kujidai ni ya "kimataifa zaidi" basi hizo adverts zao zilenge masoko ya kongo,Kenya,Burundi,Rwanda n.k na sio kutupigia mikelele.
 
Back
Top Bottom