Matangazo yao hayana thamani inayotumika!!
Soko huria...hii sio sukari wala petroli...kama nyinyi wa TTCL hamuez kuweka matangazo kama hayo kaaa kimya..Nimejaribu kuangalia uwekezaji wa baadhi ya makampuni hasa haya makampuni ya simu nikaona kuwa yanatumia gharama kubwa sana.
Hii inanifanya nifikirie kuwa kuna umuhimu wa kuwa na regulatory body ya kufuatilia gharama hizi zinazotumiwa na makampuni kufanya matangazo ambayo hayana thamani na fedha inayorumika...
Ushauri wangu ni kuwa hizi fedha zinazotumika kwenye matangazo ni vyema zikaelekezwa kwenye ununuzi wa madawati ambapo tumeshuhudia kuna upungufu mkubwa.
Isitoshe makampuni haya yanawezekana kuwa yanatumia fedha nyingi sana katika matangazo badala ya kulipa kodi stahiki.
Hebu wabunge watunge sheria ya kudhibiti matumizi yasiyo na tija kwa makampuni haya ambayo yanalipa kodi kiduchu kulinganisha na wanachokipata.
Kwani matangazo ya uchaguzi yaligharimu kiasi gani? Kodi ilikusanywa ngapi kutokana na matangazo hayo?Nimejaribu kuangalia uwekezaji wa baadhi ya makampuni hasa haya makampuni ya simu nikaona kuwa yanatumia gharama kubwa sana.
Hii inanifanya nifikirie kuwa kuna umuhimu wa kuwa na regulatory body ya kufuatilia gharama hizi zinazotumiwa na makampuni kufanya matangazo ambayo hayana thamani na fedha inayorumika...
Ushauri wangu ni kuwa hizi fedha zinazotumika kwenye matangazo ni vyema zikaelekezwa kwenye ununuzi wa madawati ambapo tumeshuhudia kuna upungufu mkubwa.
Isitoshe makampuni haya yanawezekana kuwa yanatumia fedha nyingi sana katika matangazo badala ya kulipa kodi stahiki.
Hebu wabunge watunge sheria ya kudhibiti matumizi yasiyo na tija kwa makampuni haya ambayo yanalipa kodi kiduchu kulinganisha na wanachokipata.