Shetemba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 883
- 889
Kwa kweli kuna baadhi ya vituo vya radio vina kero,maneno mawili tangazo, maneno mawili tangazo.matangazo ndiyo yanayoingizia radio husika kipato lakini yamekuwa mengi hadi yanakera,kuna hizi radio mbili ndio zinaongoza kwa matangazo na watangazaji wake kuchekacheka bila sababu.