Siku hizi naona sana kwenye CNN watani zetu (wakenya) na nchi nyingine za Afrika kama vile Angola na Afrika ya kusini wakijitangaza sana tu kwa matangazo waliyoyatayarisha maalum na mazuri sana kama lile Tangazo la "Malaysia truly Asia". Wakenya wanasema "The magic of Africa".
Sisi sijui viongozi wetu wanasubiri kudra za mwezimungu?.
Sisi sijui viongozi wetu wanasubiri kudra za mwezimungu?.