Matamshi ya Makamba yanakera

Mi chichemi mtafukuzwa kazi kama binti Fatuma because of this crazy sambaa
 
Huyu babu nae sasa kichwa kimechoka, maana hata anachosema hakina ushirikiano na akili yake.RIP Makamba.:laugh:
 
Huyu Mzee muacheni alivyo amalizie muda wake uliobaki muda wake ndio unaisha hivyo na kuongea na kuropoka kwake ndio kunamsaidia kupeleka mkono kinywani

Kwa taarifa yako ndugu yangu The Finest, akina makamba katika CCM wapo kibao. Hata yule mzee wa kusafirisafiri naye mbona ni "makamba". Chiligati unamweka katika kundi gani? Tambwe, Kingunge n.k. Cha msingi ni kukiweka chama hiki katika historia kama KANU. Nina hasira hapa!
 
Wakati Chama cha mapinduzi wakizindua maadhimisho ya miaka 34 ya chama hicho kongwe kejeli dhidi ya vyama vya upinzani ndizo zilizotanda na hasa madongo kwa chadema.Hakukuwa na lingine la kutafakari zaidi ya kila alieamka kuongea kuhusu uchaguzi mkuu na chama cha chadema chenyewe.Kulikuwa na viongozi wengi kama Makamu mwenyekiti wa CCM visiwani Dr Amani Karume,Makamba,M/kili CCM mkoa wa dar es salaam Ndg Guninita pamoja na katibu wake Kilumbe Ng'enda

Makamba alisema hivi namnukuu

1) Ushindi wa Jakaya kikwete wa kura Mil 5 dhidi ya mil 2 za dr slaa sio wa kubeza
na matokeo hayo yanaonesha kwamba Dr Slaa amejeuka mpangaji ndani ya
nyumba ya kikwete.

2) Dr Slaa atambue kuwa kashindwa..akauliza hivi mpangaji (dr slaa) anaweza
kumfungia mlango mwenye nyumba(kikwete)?

3) Kikwete ndio baba mwenye nyumba na hao wapinzani ni wapangaji tu na hao wabunge wa upinzani huko majimboni chumvi na binzari wanapata kutoka CCM

Akizungumzia kuhusu kupanda kwa nishati za mafuta,umeme na gesi alisema ni kitu cha kawaida akaongeza namnukuu " hapa sio peponi Mungu kasema kwa jasho lako utakula " .Kwa tafsiri nyepesi anasema kwamba- wale wanaolalamikia upandaji wa gharama hizo hawataki kufanya kazi ili kupata nguvu (purchasing power) ya kulipia bidhaa hizo muhimu.
Huyo ndio Makamba katibu wa Chama Cha Mapinduzi na chama kinachoshika dola tanzania.

F**c**k makamba, hana akili, hana uwezo wa kufikiri
 
teh teh teh! huyu msambaa kachanganyikiwa ndo mana kila kukicha anaropoka. Mhurumieni anastahili kupelekwa Lutindi kwa mental wenzake
 
You are wasting your calories with this nut,why don't find something else useful to do.To him the end justies the means,no matter what.

Oh my God Tikila or Tikerra! I see you have taken two tikilas b4 coming to JF! God Forbid.
 
Wakati Chama cha mapinduzi wakizindua maadhimisho ya miaka 34 ya chama hicho kongwe kejeli dhidi ya vyama vya upinzani ndizo zilizotanda na hasa madongo kwa chadema.Hakukuwa na lingine la kutafakari zaidi ya kila alieamka kuongea kuhusu uchaguzi mkuu na chama cha chadema chenyewe.Kulikuwa na viongozi wengi kama Makamu mwenyekiti wa CCM visiwani Dr Amani Karume,Makamba,M/kili CCM mkoa wa dar es salaam Ndg Guninita pamoja na katibu wake Kilumbe Ng'enda

Makamba alisema hivi namnukuu

1) Ushindi wa Jakaya kikwete wa kura Mil 5 dhidi ya mil 2 za dr slaa sio wa kubeza
na matokeo hayo yanaonesha kwamba Dr Slaa amejeuka mpangaji ndani ya
nyumba ya kikwete.

2) Dr Slaa atambue kuwa kashindwa..akauliza hivi mpangaji (dr slaa) anaweza
kumfungia mlango mwenye nyumba(kikwete)?

3) Kikwete ndio baba mwenye nyumba na hao wapinzani ni wapangaji tu na hao wabunge wa upinzani huko majimboni chumvi na binzari wanapata kutoka CCM

Akizungumzia kuhusu kupanda kwa nishati za mafuta,umeme na gesi alisema ni kitu cha kawaida akaongeza namnukuu " hapa sio peponi Mungu kasema kwa jasho lako utakula " .Kwa tafsiri nyepesi anasema kwamba- wale wanaolalamikia upandaji wa gharama hizo hawataki kufanya kazi ili kupata nguvu (purchasing power) ya kulipia bidhaa hizo muhimu.

Huyo ndio Makamba katibu wa Chama Cha Mapinduzi na chama kinachoshika dola tanzania.
Ndg yangu huyo kawekwa purposely kwa maslihi ya watu, kama hedge vile kabla ya kufikiwa lazima uruke ua utafute njia. Wewe unategemea SISIEM yote imekosa msomi wa kurun daya to day liabilities za chama, of all the people Yusuf Makamba!!!Hivi CV yake imekaa vipi???????????
 
unajua huyu mzee tatizo akiliyake inawaza vita, uongozi hawezi kabisa,,mi naona wengemkodisha kule tunisia akasaidia serikali...
 
Wakati Chama cha mapinduzi wakizindua maadhimisho ya miaka 34 ya chama hicho kongwe kejeli dhidi ya vyama vya upinzani ndizo zilizotanda na hasa madongo kwa chadema.Hakukuwa na lingine la kutafakari zaidi ya kila alieamka kuongea kuhusu uchaguzi mkuu na chama cha chadema chenyewe.Kulikuwa na viongozi wengi kama Makamu mwenyekiti wa CCM visiwani Dr Amani Karume,Makamba,M/kili CCM mkoa wa dar es salaam Ndg Guninita pamoja na katibu wake Kilumbe Ng'enda

Makamba alisema hivi namnukuu

1) Ushindi wa Jakaya kikwete wa kura Mil 5 dhidi ya mil 2 za dr slaa sio wa kubeza
na matokeo hayo yanaonesha kwamba Dr Slaa amejeuka mpangaji ndani ya
nyumba ya kikwete.

2) Dr Slaa atambue kuwa kashindwa..akauliza hivi mpangaji (dr slaa) anaweza
kumfungia mlango mwenye nyumba(kikwete)?

3) Kikwete ndio baba mwenye nyumba na hao wapinzani ni wapangaji tu na hao wabunge wa upinzani huko majimboni chumvi na binzari wanapata kutoka CCM

Akizungumzia kuhusu kupanda kwa nishati za mafuta,umeme na gesi alisema ni kitu cha kawaida akaongeza namnukuu " hapa sio peponi Mungu kasema kwa jasho lako utakula " .Kwa tafsiri nyepesi anasema kwamba- wale wanaolalamikia upandaji wa gharama hizo hawataki kufanya kazi ili kupata nguvu (purchasing power) ya kulipia bidhaa hizo muhimu.

Huyo ndio Makamba katibu wa Chama Cha Mapinduzi na chama kinachoshika dola tanzania.

Tusihangaike na mtu ambaye hana hoja, mwacheni azungumze tu na wale wajinga wenzake.
 
huyu mzee hana akili,,, kama angekuwa na akili basi asingemuuza mwanaye wa kike kwa JK......lazima awe na domo ili wanawe wapate kula, akisema akae kimya bas january na dada ake watakosa chchte so kinachotakiwa ni kumpotezea coz ni kama ndondocha la ccm....
 
Nilipita pale viwanja vya Biafra, nilikuwa nikipiga story na jamaa mmoja aliyekuwa amevalia T-shirt ya njano na kofia kijani alinitamkia waziwazi kwamba sehemu kubwa ya walokubali kuvaa yale manguo alilipwa Tshs10,000 akadai "nipo kibiashara zaidi, hujanivalisha haya magwanda bila malipo". Sasa najiuliza kama hayo ni ya kweli hivi kuna haja gani ya kuwalipa watu Pesa nyingi kiasi hicho? unataka nini?

CCM hawakubariki kabisa kwahiyo bila kufanya hivyo hawapati watu
 
Anayejua profile za wazazi wa Makamba aweke. Yawezekana ni genetical. Milembe wengi bado hawajaenda
 
Wakati Chama cha mapinduzi wakizindua maadhimisho ya miaka 34 ya chama hicho kongwe kejeli dhidi ya vyama vya upinzani ndizo zilizotanda na hasa madongo kwa chadema.Hakukuwa na lingine la kutafakari zaidi ya kila alieamka kuongea kuhusu uchaguzi mkuu na chama cha chadema chenyewe.Kulikuwa na viongozi wengi kama Makamu mwenyekiti wa CCM visiwani Dr Amani Karume,Makamba,M/kili CCM mkoa wa dar es salaam Ndg Guninita pamoja na katibu wake Kilumbe Ng'enda

Makamba alisema hivi namnukuu

1) Ushindi wa Jakaya kikwete wa kura Mil 5 dhidi ya mil 2 za dr slaa sio wa kubeza
na matokeo hayo yanaonesha kwamba Dr Slaa amejeuka mpangaji ndani ya
nyumba ya kikwete.

2) Dr Slaa atambue kuwa kashindwa..akauliza hivi mpangaji (dr slaa) anaweza
kumfungia mlango mwenye nyumba(kikwete)?

3) Kikwete ndio baba mwenye nyumba na hao wapinzani ni wapangaji tu na hao wabunge wa upinzani huko majimboni chumvi na binzari wanapata kutoka CCM

Akizungumzia kuhusu kupanda kwa nishati za mafuta,umeme na gesi alisema ni kitu cha kawaida akaongeza namnukuu " hapa sio peponi Mungu kasema kwa jasho lako utakula " .Kwa tafsiri nyepesi anasema kwamba- wale wanaolalamikia upandaji wa gharama hizo hawataki kufanya kazi ili kupata nguvu (purchasing power) ya kulipia bidhaa hizo muhimu.

Huyo ndio Makamba katibu wa Chama Cha Mapinduzi na chama kinachoshika dola tanzania.

Angeongea mambo ya kiungwana na kwa hekima ndiyo ingekuwa habari. Vinginevyo kila mwananchi anatambua kwamba makamba ni mropokaji, full stop.
 
Ndg yangu huyo kawekwa purposely kwa maslihi ya watu, kama hedge vile kabla ya kufikiwa lazima uruke ua utafute njia. Wewe unategemea SISIEM yote imekosa msomi wa kurun daya to day liabilities za chama, of all the people Yusuf Makamba!!!Hivi CV yake imekaa vipi???????????

Ni mbakaji wa wanafunzi aliyefukuzwa kazi ya ualimu baada ya kuparamia mwanafunzi. Ni mropokaji maarufu anayetishia rekodi ya mpwa wake tambwe hiza.
 
Hivi majuzi tu, ilisikika kuwa mzee makamba anafukuzwa ktk wadhifa wake..watu wengi hapa hawakufurahishwa na hicho kitu kwani upinzani utakuwa umeondokewa na mtu muhimu kwao..tulipenda awepo ili aharakishe mapinduzi kabla ya 2015!

HONGERA SANA MZEE MAKAMBA TUNAOMBA UENDELEE HIVYO HIVYO, WE SIO CHIZI UNAELEWA UNACHOKIFANYA! :msela:
 
:msela::msela::msela::msela:watu kama makamba lazima wawepo ili kututia hasira....lakini siku moja watashangaa kama sio watoto wake basi wajukuu watakapo kwenda kuomba hifadhi ya ukimbizi nchi jirani sisi tunasubiri tu ...na mbegu yangu nitaipanda hata kwa mwanangu kwamba rostam...makamba...lowasa...kikwete...jeetu pateli ..manji...philipo mangula...na wengineo hawa ndo waliiua tanzania na watoto wakijua hayo ntakuwa nimepanda tayari chuki na kwahiyo mimi nikianza wao watamalizia....wanajifanya wanajua ngumi na misuri hawana.
 
We mushy mbona kaongea vitu vya kawaida sana ,hata kama karopoka u dont have to make it a big deal grow up man and learn to face reality instead of sitting on ur backside COMPLAINING about everything instead of working because HOW SURE ARE U KWAMBA HATA WEWE HAUKERI.be your age
 
We mushy mbona kaongea vitu vya kawaida sana ,hata kama karopoka u dont have to make it a big deal grow up man and learn to face reality instead of sitting on ur backside COMPLAINING about everything instead of working because HOW SURE ARE U KWAMBA HATA WEWE HAUKERI.be your age
 
Back
Top Bottom