Huyu Mzee muacheni alivyo amalizie muda wake uliobaki muda wake ndio unaisha hivyo na kuongea na kuropoka kwake ndio kunamsaidia kupeleka mkono kinywani
Wakati Chama cha mapinduzi wakizindua maadhimisho ya miaka 34 ya chama hicho kongwe kejeli dhidi ya vyama vya upinzani ndizo zilizotanda na hasa madongo kwa chadema.Hakukuwa na lingine la kutafakari zaidi ya kila alieamka kuongea kuhusu uchaguzi mkuu na chama cha chadema chenyewe.Kulikuwa na viongozi wengi kama Makamu mwenyekiti wa CCM visiwani Dr Amani Karume,Makamba,M/kili CCM mkoa wa dar es salaam Ndg Guninita pamoja na katibu wake Kilumbe Ng'enda
Makamba alisema hivi namnukuu
1) Ushindi wa Jakaya kikwete wa kura Mil 5 dhidi ya mil 2 za dr slaa sio wa kubeza
na matokeo hayo yanaonesha kwamba Dr Slaa amejeuka mpangaji ndani ya
nyumba ya kikwete.
2) Dr Slaa atambue kuwa kashindwa..akauliza hivi mpangaji (dr slaa) anaweza
kumfungia mlango mwenye nyumba(kikwete)?
3) Kikwete ndio baba mwenye nyumba na hao wapinzani ni wapangaji tu na hao wabunge wa upinzani huko majimboni chumvi na binzari wanapata kutoka CCM
Akizungumzia kuhusu kupanda kwa nishati za mafuta,umeme na gesi alisema ni kitu cha kawaida akaongeza namnukuu " hapa sio peponi Mungu kasema kwa jasho lako utakula " .Kwa tafsiri nyepesi anasema kwamba- wale wanaolalamikia upandaji wa gharama hizo hawataki kufanya kazi ili kupata nguvu (purchasing power) ya kulipia bidhaa hizo muhimu.
Huyo ndio Makamba katibu wa Chama Cha Mapinduzi na chama kinachoshika dola tanzania.
You are wasting your calories with this nut,why don't find something else useful to do.To him the end justies the means,no matter what.
Ndg yangu huyo kawekwa purposely kwa maslihi ya watu, kama hedge vile kabla ya kufikiwa lazima uruke ua utafute njia. Wewe unategemea SISIEM yote imekosa msomi wa kurun daya to day liabilities za chama, of all the people Yusuf Makamba!!!Hivi CV yake imekaa vipi???????????Wakati Chama cha mapinduzi wakizindua maadhimisho ya miaka 34 ya chama hicho kongwe kejeli dhidi ya vyama vya upinzani ndizo zilizotanda na hasa madongo kwa chadema.Hakukuwa na lingine la kutafakari zaidi ya kila alieamka kuongea kuhusu uchaguzi mkuu na chama cha chadema chenyewe.Kulikuwa na viongozi wengi kama Makamu mwenyekiti wa CCM visiwani Dr Amani Karume,Makamba,M/kili CCM mkoa wa dar es salaam Ndg Guninita pamoja na katibu wake Kilumbe Ng'enda
Makamba alisema hivi namnukuu
1) Ushindi wa Jakaya kikwete wa kura Mil 5 dhidi ya mil 2 za dr slaa sio wa kubeza
na matokeo hayo yanaonesha kwamba Dr Slaa amejeuka mpangaji ndani ya
nyumba ya kikwete.
2) Dr Slaa atambue kuwa kashindwa..akauliza hivi mpangaji (dr slaa) anaweza
kumfungia mlango mwenye nyumba(kikwete)?
3) Kikwete ndio baba mwenye nyumba na hao wapinzani ni wapangaji tu na hao wabunge wa upinzani huko majimboni chumvi na binzari wanapata kutoka CCM
Akizungumzia kuhusu kupanda kwa nishati za mafuta,umeme na gesi alisema ni kitu cha kawaida akaongeza namnukuu " hapa sio peponi Mungu kasema kwa jasho lako utakula " .Kwa tafsiri nyepesi anasema kwamba- wale wanaolalamikia upandaji wa gharama hizo hawataki kufanya kazi ili kupata nguvu (purchasing power) ya kulipia bidhaa hizo muhimu.
Huyo ndio Makamba katibu wa Chama Cha Mapinduzi na chama kinachoshika dola tanzania.
Wakati Chama cha mapinduzi wakizindua maadhimisho ya miaka 34 ya chama hicho kongwe kejeli dhidi ya vyama vya upinzani ndizo zilizotanda na hasa madongo kwa chadema.Hakukuwa na lingine la kutafakari zaidi ya kila alieamka kuongea kuhusu uchaguzi mkuu na chama cha chadema chenyewe.Kulikuwa na viongozi wengi kama Makamu mwenyekiti wa CCM visiwani Dr Amani Karume,Makamba,M/kili CCM mkoa wa dar es salaam Ndg Guninita pamoja na katibu wake Kilumbe Ng'enda
Makamba alisema hivi namnukuu
1) Ushindi wa Jakaya kikwete wa kura Mil 5 dhidi ya mil 2 za dr slaa sio wa kubeza
na matokeo hayo yanaonesha kwamba Dr Slaa amejeuka mpangaji ndani ya
nyumba ya kikwete.
2) Dr Slaa atambue kuwa kashindwa..akauliza hivi mpangaji (dr slaa) anaweza
kumfungia mlango mwenye nyumba(kikwete)?
3) Kikwete ndio baba mwenye nyumba na hao wapinzani ni wapangaji tu na hao wabunge wa upinzani huko majimboni chumvi na binzari wanapata kutoka CCM
Akizungumzia kuhusu kupanda kwa nishati za mafuta,umeme na gesi alisema ni kitu cha kawaida akaongeza namnukuu " hapa sio peponi Mungu kasema kwa jasho lako utakula " .Kwa tafsiri nyepesi anasema kwamba- wale wanaolalamikia upandaji wa gharama hizo hawataki kufanya kazi ili kupata nguvu (purchasing power) ya kulipia bidhaa hizo muhimu.
Huyo ndio Makamba katibu wa Chama Cha Mapinduzi na chama kinachoshika dola tanzania.
Nilipita pale viwanja vya Biafra, nilikuwa nikipiga story na jamaa mmoja aliyekuwa amevalia T-shirt ya njano na kofia kijani alinitamkia waziwazi kwamba sehemu kubwa ya walokubali kuvaa yale manguo alilipwa Tshs10,000 akadai "nipo kibiashara zaidi, hujanivalisha haya magwanda bila malipo". Sasa najiuliza kama hayo ni ya kweli hivi kuna haja gani ya kuwalipa watu Pesa nyingi kiasi hicho? unataka nini?
Wakati Chama cha mapinduzi wakizindua maadhimisho ya miaka 34 ya chama hicho kongwe kejeli dhidi ya vyama vya upinzani ndizo zilizotanda na hasa madongo kwa chadema.Hakukuwa na lingine la kutafakari zaidi ya kila alieamka kuongea kuhusu uchaguzi mkuu na chama cha chadema chenyewe.Kulikuwa na viongozi wengi kama Makamu mwenyekiti wa CCM visiwani Dr Amani Karume,Makamba,M/kili CCM mkoa wa dar es salaam Ndg Guninita pamoja na katibu wake Kilumbe Ng'enda
Makamba alisema hivi namnukuu
1) Ushindi wa Jakaya kikwete wa kura Mil 5 dhidi ya mil 2 za dr slaa sio wa kubeza
na matokeo hayo yanaonesha kwamba Dr Slaa amejeuka mpangaji ndani ya
nyumba ya kikwete.
2) Dr Slaa atambue kuwa kashindwa..akauliza hivi mpangaji (dr slaa) anaweza
kumfungia mlango mwenye nyumba(kikwete)?
3) Kikwete ndio baba mwenye nyumba na hao wapinzani ni wapangaji tu na hao wabunge wa upinzani huko majimboni chumvi na binzari wanapata kutoka CCM
Akizungumzia kuhusu kupanda kwa nishati za mafuta,umeme na gesi alisema ni kitu cha kawaida akaongeza namnukuu " hapa sio peponi Mungu kasema kwa jasho lako utakula " .Kwa tafsiri nyepesi anasema kwamba- wale wanaolalamikia upandaji wa gharama hizo hawataki kufanya kazi ili kupata nguvu (purchasing power) ya kulipia bidhaa hizo muhimu.
Huyo ndio Makamba katibu wa Chama Cha Mapinduzi na chama kinachoshika dola tanzania.
Ndg yangu huyo kawekwa purposely kwa maslihi ya watu, kama hedge vile kabla ya kufikiwa lazima uruke ua utafute njia. Wewe unategemea SISIEM yote imekosa msomi wa kurun daya to day liabilities za chama, of all the people Yusuf Makamba!!!Hivi CV yake imekaa vipi???????????