cement
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 581
- 218
Jamani nimepata kusikia habari za huyu Kitana naasikia anaamiliki kisiwa huko na meli kibao za kusafirisha samaki kwenda Uganda mwenye kujua vizuri detail za huyu mkurya aamwage jamvini
Long time kulikuwa na Kishimba
Watu wa mwanza tupeni detail za jamaa wanaotesa huko kwa pesa!!!!!!!
Long time kulikuwa na Kishimba
Watu wa mwanza tupeni detail za jamaa wanaotesa huko kwa pesa!!!!!!!