THE BROKER
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 762
- 949
Nakumbuka idadi ya ng'ombe zilizochinjwa Ni nyingi mno. Karibu mji mzima walikula nyama siku hiyoMji ulizizima
Hawa jamaa ilikuwa kitu cha kawaida kuona paroko anawatembelea nyumban
Pesa hii! !!
Nakumbuka idadi ya ng'ombe zilizochinjwa Ni nyingi mno. Karibu mji mzima walikula nyama siku hiyoMji ulizizima
Hawa jamaa ilikuwa kitu cha kawaida kuona paroko anawatembelea nyumban
Pesa hii! !!
Mkuu jikite kwenye madakumbe mchuchu fighter..
aina ya uandishi wako,imeniingiza chaka Madame.
Najaribu Ku imagine jinsi ulivyo strong woman...sipati picha aidha unafanana na Queen Darleen au Sister Fey ama Zari wa Chibu.?![]()
Tulia kwanza huu upepo mchafu wa COVID-19 upiteSasa hivi matajiri au watu maarufu wa Moshi ni kina nani?
Kilmanjaro , BM , extra lakromeWrite your reply...makampuni ya mabasi tz karibu 40% ni ya wachaga,karibia mikoa yote tz basi la mchaga lipo
kidia one
Machame safari exp
ngorika exp
dar exp
meridian exp
lim Safari
ibra line
Osaka
princes muro
lucky star
happy nation
hai exp
ester exp
mtei exp
kimambo exp
MarAngu exp
arusha exp
tilisho exp
pia mmiliki wa precision air n mchaga,Michael ngaleku shirima
Abood, Zuberi, Saibaba, Majinjah, Nyehunge, Kisbo, Tungis zote za Wachaga?Kilmanjaro , BM , extra lakrome
Wa Kilimanjaro usimtaje Temeke ilimnasa.lucas Tarimo
Vïcent lasway
mawalla
Mberesero
mremi wa dar exp
Bosco Chuwa
Panjwani.
Hari singh
Rajinder
Mchuku wa Mangi.
Hivyo vi kampuni vitatu? Pitia orodha ya wamiliki wa makampuni ya magar then uje hapaAbood, Zuberi, Saibaba, Majinjah, Nyehunge, Kisbo, Tungis zote za Wachaga?
Tamaa zimewajaa tu hamna lolote na misifa ila kiuhalisia ni maboya tuMoshi bila pesa we mchumba
Hao ni wezi balaa, wanaiba hadi matairiTamaa zimewajaa tu hamna lolote na misifa ila kiuhalisia ni maboya tu
Na mimi huu uzi niliupitia sk za nyuma nimeuridia tena. Kilichonifurahisha zaidi ni watu walivyomkumbuka yule mhindi aliekuwa anavaa kaptura duka la juisi pale opposite NMB!!huu uzi umenikumbisha mambo mengi sana, kwenda kula mkongoraa msitu wa langoni,kula ngweda mto rau,kwenda kuangalia video Makando bar pale majengo, tution kwa mwalim Makondoo pale majengo, dukani kwa panjuwan,temba watch, njoro,pasua etc. long time, tuliosoma mwereni ps tukutane
Inasikitisha sana, madogo ndiyo wanapata shida zaidi.Ndio inasikitisha sana
Vijana wameharibika wale
Dada yao kaishia kuzalishwa na muuza vijit yani tabu tupu
Wakati walikuwa na option ya kusoma shule bora na kutusua