Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,415
- 12,622
Baba alinunuaga viatu flani kama vya Kungfu nikaviiba kupeleka kwa fundi avipunguze nivivae mimi fundi akasema haiwezekani.
Niliwahi kuchukua saa ya baba nikaivaa mguuni kwa sababu mkononi ilikuwa haitoshi (inapwaya).
Niliwahi kuweka maji kwenye kibatari nikidhani itakuwa kama mafuta ya taa.
Niliwahi kuchukua saa ya baba nikaivaa mguuni kwa sababu mkononi ilikuwa haitoshi (inapwaya).
Niliwahi kuweka maji kwenye kibatari nikidhani itakuwa kama mafuta ya taa.