Maswali yalioninyima usingizi nilipokua mtoto

Maswali yalioninyima usingizi nilipokua mtoto

Nilikuwa najua mvua inaponyesha ni Mungu amemwaga maji, na muungurumo wa radi ni pale mapipa ya maji yanapoanguka kwa kugalagala (kuzunguka zunguka) huku yakigogana, na ule mwanga ni cheche zinazosababishwa na pipa kugongana na pipa lingine kwa ngu sana.

Wakati huo huo nilikuwa najua mapipa ya Mungu ni makubwa sana.
 
Inakuaje baba na mama wanaendelea kuichagua ccm wakati haijawapatia huduma zozote za msingi..?

Kwa nini baba ananipeleka kusoma nje inamaana wanaosoma uku hawaelewi.?

hongera zako mkuu nadhani sasa ushajua kwanini
 
Mh ilo la kinyelamumo shida kweli wakati wa kujisaidia
 
Mi nlikua najiuliza watu wanoonekana kwenye tv wanapitia wapi? Mana tv ndogo lkn watu teleee

Siku moja nlimuuliza mama mtoto anazaliwa vp akanambia anatolewa mdomoni.

Kumbe wewe ni wa juzi tu wakati wa kizazi cha TV. Mimi niliamini kuwa ndani ya redio wako watu ingawa wana umbile dogo lakini wana uwezo wa kuzungumza. Siku moja kuna mtu alinidanganya kuwa baba yake alifungua redio na ndani walikuwako watu wawili.
 
nilikuwa najua shetani ana sura mbaya..nikiambiwa shetani uyo anakuja nalia natoka nduki then najificha!
 
Inakuaje baba na mama wanaendelea kuichagua ccm wakati haijawapatia huduma zozote za msingi..?

Kwa nini baba ananipeleka kusoma nje inamaana wanaosoma uku hawaelewi.?
inaonekana wewe 20+ lakini bado ni mtoto! teh!
 
nilisumubuka sana kufahamu congo drc iko wapi?

kila siku nilikuwa namuuliza mama, ''hivi mama hii nchi iko Tanzania''?

nakumbuka hiyo ilikuwa mwaka 1999!
 
Hili swali linawasumbua sana watoto maana mtoto wangu wa mwaka mmoja kila siku anazunguka nyuma ya tv anatafuta watu wanaoonekana kwenye tv anadhani wako nyuma.

Lilinitesa sana hili, kwa usalama wa redio ya nyumbani kuvunjika nlitafutiwa redio mbovu na father ikafunguliwa ndani ili kuon kama hamna mtu
 
1.mimi nilijiuliza saana kuhusu kioo,nilidhani ni watu 2 sasa nikigusa upande wa nyuma wa kioo nakuta hewa tu.2. kwa nini baba analala na mama tu3. Mbinguni kuna raha,nilikua najiuliza raha hiyo ni zaidi ya kucheza sundayschool, au kula pilau
 
nilikuwa najiuliza hivi mvulana na msichana wakifanya matusi dushe ya jamaa huwa inaenda wap ?!! maana nilijua kuwa tundu papuchi imeunganishwa na tundu mku*du so lazma dushe litokee huko (kwenye mku*du)
 
Nyinyi great thinkers mna vituko sipataka kuona. Mnatuvunja watu mbavu zetu huko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom