OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
Mimi niliteseka na kujua kazini wanafanya kazi gani???!!!
Kama ni hesabu zoezi la ngapi??!!!!
Kama ni sayansi mada gani???!!
Madaftari wanapewa na nani???!!
Wasahishiwa kama sisi shuleni???!!!
Mbona hawavai yunifomu???!!
Yaaani nilidhani kazi ni kusoma, kuandika na kusahishiwa tu maana wanabeba mafaili na mikoba na kila nikichungulia wa mzee naona makabrasha kibao!!!!
Kama ni hesabu zoezi la ngapi??!!!!
Kama ni sayansi mada gani???!!
Madaftari wanapewa na nani???!!
Wasahishiwa kama sisi shuleni???!!!
Mbona hawavai yunifomu???!!
Yaaani nilidhani kazi ni kusoma, kuandika na kusahishiwa tu maana wanabeba mafaili na mikoba na kila nikichungulia wa mzee naona makabrasha kibao!!!!