mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,161
- 3,495
Kuna baadhi ya mambo yalinifanya niumize akili enzi za uto to
1- mtu akivaa overall (kanyela mumo) anakunyaje?
2-mama akienda kujifungua, je mototo hupitia wapi kutoka tumboni?
3-baba na mama, walizalia pamoja?
4-mwalimu ndie mtu mwenye akili kuliko watu wote?
5-rais ndie mwenye nchi?
Ongezea maswali yalio kutatiza utoton
Hukuwahi kujiuliza pesa inapatikana wapi