Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,580
HAPA we are missing the point.
Kweli ukitaka kuiondoa ccm lazima uwe na uwezo wa kupambana na vikwazo vingi kuliko kawaida.
Kama ccm imeshakubalika kuwa ni mbovu basi ni bora tuangalie ni wapi tunaweza walau kupata unafuu , je? ni kweli kuwa Mbowe ni mkabila kama watu tunavyotaka kuaminishwa ama ni zilezile propaganda za enzi za akina kingunge?
Kwani hamjui kuwa nchi hii tayari inatawaliwa kimajimbo?
Angalia mfumo mzima wa mahakama wao wanasema ni kanda , tofauti ya lugha.
Angalia mfumo wa hospitali za rufaa wao wanasema ni kanda.
Angalia mfumo wa ukaguzi wa elimu wao wanasema ni kanda sio jimbo.
Angalia upande wa TRA wao wanasema ni kanda siop jimbo.
Angalia mfumo mzima wa uendeshaji wa TANROAD wao wanasema ni kanda sio jimbo .
unaweza kuorodhesha kadiri utakavyoweza, ila hili halionekani kama ni kuendesha nchi kikabila ila ukisema majimbo unaonekana wewe ni mkabila , Mbowe badilisha sema kanda labda wasnaweza kukuelewa kwani jimbo hawaelewi.
Kweli ukitaka kuiondoa ccm lazima uwe na uwezo wa kupambana na vikwazo vingi kuliko kawaida.
Kama ccm imeshakubalika kuwa ni mbovu basi ni bora tuangalie ni wapi tunaweza walau kupata unafuu , je? ni kweli kuwa Mbowe ni mkabila kama watu tunavyotaka kuaminishwa ama ni zilezile propaganda za enzi za akina kingunge?
Kwani hamjui kuwa nchi hii tayari inatawaliwa kimajimbo?
Angalia mfumo mzima wa mahakama wao wanasema ni kanda , tofauti ya lugha.
Angalia mfumo wa hospitali za rufaa wao wanasema ni kanda.
Angalia mfumo wa ukaguzi wa elimu wao wanasema ni kanda sio jimbo.
Angalia upande wa TRA wao wanasema ni kanda siop jimbo.
Angalia mfumo mzima wa uendeshaji wa TANROAD wao wanasema ni kanda sio jimbo .
unaweza kuorodhesha kadiri utakavyoweza, ila hili halionekani kama ni kuendesha nchi kikabila ila ukisema majimbo unaonekana wewe ni mkabila , Mbowe badilisha sema kanda labda wasnaweza kukuelewa kwani jimbo hawaelewi.