ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,492
- 8,295
Mfano baba anakuuliza eti hivi kwa nini nilikuzaa?hapo unajibuje sasa.
Au dem anakuuliza hivi nilikupendea nini??au mtu anakuuliza eti wewe ni me au ke?ili iweje sasa.
Ongezea swali lolote unaloona halina maana.
Au dem anakuuliza hivi nilikupendea nini??au mtu anakuuliza eti wewe ni me au ke?ili iweje sasa.
Ongezea swali lolote unaloona halina maana.