NI MTAZAMO TU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,203
- 998
Nimekuwa nikiwaza tu juu ya mauaji ya mtu mmoja mmoja na mfano wa Police walio uwawa maeneo Yale ya Kibiti, Hivi serikali haiwezi anzisha kambi kama tatu za mafuzo ya Jkt kule, maana kigeografia naona kama panaruhusu sana maeneo Yale majeshi yetu kufanyia mafunzo kule na serkali ikawalipa baadhi ya Raia watakao hamishwa maeneo hayo.
Najua hali ulivyo imewanyima watu uhuru na mazoea yao ya maisha ya kawaida.
Mfono nikiwa Shule nilikuwa nasikia tu uzalendo wa Mwalimu Kambarage kuwa alikuwa akisikia mahari pana madini na mali nyingi kwenye hilo eneo alikuwa anaazisha kambi ya Jkt kwaajili ya mafunzo.
Maana nikiwaza ugumu wa sasa wa pesa na ukiwa kwenye mizunguko huku unawaza usalama wa familia yako hii ngumu sana.
Ok ni Mtazamo tu.
Najua hali ulivyo imewanyima watu uhuru na mazoea yao ya maisha ya kawaida.
Mfono nikiwa Shule nilikuwa nasikia tu uzalendo wa Mwalimu Kambarage kuwa alikuwa akisikia mahari pana madini na mali nyingi kwenye hilo eneo alikuwa anaazisha kambi ya Jkt kwaajili ya mafunzo.
Maana nikiwaza ugumu wa sasa wa pesa na ukiwa kwenye mizunguko huku unawaza usalama wa familia yako hii ngumu sana.
Ok ni Mtazamo tu.