Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,778
- 218,404
Sikukubaliana na kauli ya Nsato Marijani , haikuwa na weredi , halafu kingine ni kwamba hili si jambo la juzi tu, lilikwishatokea na tukaambiwa limeshughulikiwa , kuna komando kauawawa/ kakamatwa , mbona yanajirudia tena ?Sasa mkuu, ni kweli ulitegemea mkakati rasmi wa kiusalama wa kushughurikia suala hili ubainashwe hadharani, mbele ya press au msibani? Suala hili ni nyeti na amini usiamini sio Polisi tu bali vyombo vyote vya kiusalama vya Taifa sasa hivi vimo kazini usiku na mchana ila tu tukumbuke ugumu wa kupambana na adui anayepigana nawe kwa mtindo wa HIT & RUN.