Maswali na Majibu: Namna ya Kupakua (Download) Movies bure

Salaam,
Ni web site ipi naweza kushusha movies (free download) kama latest prison break episodes, nk? Msaada tafadhali.
 
Nenda google andika pirate bay search itafunguka download movies click hapo itaopen hyo page unaweza kusearch chochote na kukidownload via torrent.
 
Naomba msaada jamani mimi nimtanzania mwenye kipato cha chini sana uwezo wakununua movies sina japo nini penda sana mkutizama movies na alichonijalia mungu nikuniweka katika ofisi yenye net ya uhakika na isiyo na ubababaishaji napenda kujua nitawezaje kudownload movies bure?
 
Fanya hivi: unainstal software inaitwa u-torrent. link hii µTorrent - a (very) tiny BitTorrent client, halafu ukishakuwa nayo hiyo utaingia google kama kawaida utafute website inaitwa btjunkie au nikuwekee link: btjunkie - the largest bittorrent search engine

Halafu kwenye search box ya btjunkie andika jina la movie unayotaka kudownload. itakuletea search findings nyingi. i was told the best movies in quality audion and video ni kuanzia 700 - 900mb. utaclick kwenye hiyo ultakayochagua halafu itakupa download link ukiclick hiyo link sasa inategemea unatumia chrome au mozilla au explorer lakini something will pop ambayo itakuprompt usave au itajisave yenyewe and once you click on the pop up au saved folder itakupeleka moja moja kwenye torrent ambayo itaanza kudownload. am not so good in explaining lakini nadhani umeelewa. ni njia rahisi na ndo nayojua tu unless kama kuna mtu anajua namna nyingine mbali ya junkie na torrent atusaidie.
 
JS;3210124]fanya hivi: unainstal software inaitwa u-torrent. link hii µTorrent - a (very) tiny BitTorrent client

halafu ukishakuwa nayo hiyo utaingia google kama kawaida utafute website inaitwa btjunkie au nikuwekee link: btjunkie - the largest bittorrent search engine

halafu kwenye search box ya btjunkie andika jina la movie unayotaka kudownload. itakuletea search findings nyingi. i was told the best movies in quality audion and video ni kuanzia 700 - 900mb. utaclick kwenye hiyo ultakayochagua halafu itakupa download link ukiclick hiyo link sasa inategemea unatumia chrome au mozilla au explorer lakini something will pop ambayo itakuprompt usave au itajisave yenyewe and once you click on the pop up au saved folder itakupeleka moja moja kwenye torrent ambayo itaanza kudownload. am not so good in explaining lakini nadhani umeelewa. ni njia rahisi na ndo nayojua tu unless kama kuna mtu anajua namna nyingine mbali ya junkie na torrent atusaidie


Nashukuru sana kwa msaada wako nimefanikiwa.
 
  • Thanks
Reactions: JS
Pia itakubidi u search kwenye Google software iitwayo FSJSplitter hiyo ni kwaajili ya kuunganishia files utazokuwa umedownload na kufanya movie kamili itokee.

Uzuri wa hii system ni kwamba ni rahisi kuresume downloading;heh,kumbe sijajua kwamba unaweza usiwe na Internet Download Manager!!!Search humu namna ya kudownload na hiyo IDmanager,utaihitaji kwani inakufanya udownload kwa speed kubwa hatari!

Kwa system hii niliyoitoa,kama una internet yenye speed nzuri,nakuhakikishia utadownload movies nyingi ndani ya muda mfupi mpaka utashindwa kuziangalia mkuu!
 
Torrents mbona ndo dunia mpya, kwenye torrents utapata kudownload almost kilakitu na unaweza kuPause na kuResume downloads bila kuanza mwanzo, speed yake kubwa kilingana na seed na leechers wa hilo file, ukitumia media fire umeme ukakatika tu na computer ikazima :hatari: imekula kwako kuanza mwanzo kunakuhusu. Nakushauri utumie (isohunt.com, kickasstorrents.com, etc)
 
Torrents mbona ndo dunia mpya, kwenye torrents utapata kudownload almost kilakitu na unaweza kuPause na kuResume downloads bila kuanza mwanzo, speed yake kubwa kilinga na seed na leechers wa hilo file, ukitumia media fire umeme ukakatika tu na computer ikazima :hatari: imekula kwako kuanza mwanzo kunakuhusu !! nakushauri utumie (isohunt.com, kickasstorrents.com, etc)

Jamani nimei-install hiyo torrents lakini nashindwa kuitumia,nafanyaje? Nikitaka ku-download music pia yawezekana? Nipeni maujuzi.
 
Jamani nimeistal hiyo torrents lakini nashindwa kuitumia, nafanyaje? Nikitaka ku-download music pia yawezekana? Nipeni maujuzi

Umeinstal software gani ya torrents? anyways, mimi natumia sana Vuze na Frostwire (download link--> Download Vuze 4.7.0.2 - Download - FileHippo.com) ila kuna utorrent na zingine ni nzuri pia..unachotakiwa ni kubrowse movie au file lolote unalotaka kudownload kwenye torrent hosting websites kama isohunt.com alafu utadownload torrent file la hiyo movie, then utaDouble click hiyo torrent file uliyodownload alafu utaona Vuze imefunguka na kuanza kuDownload.

Simple process! Kwa mfano hapa nataka kuDownload Mission Impossible 4 Ghost Protocol, nasearch kwenye search tab ya isohunt.com, nachagua movie yangu kwenye list, then nadownload and open torrent file lake.

11m4360.jpg

n6t502.jpg
 
Back
Top Bottom