nashukuru mjadala huu umeishia hapa leo hivyo basi nawaomba msichangie tena hadi hapo tutakapotangaza majina yenu baada ya mei mosi kwa sasa tunajianda kwa ajili ya gwaride la muungano na sherehe ya wafanyakazi. naomba mtulie kwa maana njia uliyopitia kupata tangazo ndio njia utakayopitia kupata taarifa za usaili.
nakutakia heri ya mei mosi na maandalizi mema ya kupata ama kukosa.
Mkuu mgonjwauki-google website ya uhamiaji bilabila.. ILA KUNA HAWA JAMAA WAMEWEKA UPDATES KWAMBA WAMEWEKA LIST OF THOSE SHORTLISTED APPLICANTS..ila haifungui chochote...
cheki hii attachment hapo....USIWAWEKE WATU NA TENSION HIVYO..
Vuteni subira kuanzia tarehe moja watatoa. Najua majibu hayatakuwa mazuri kwawengne naomba mvumilie coz maisha co uhamiaji tu maisha kokote. Na nawapa hongera wale Wataoitwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.