Mtendaji wa kaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 334
- 57
hiyo uliisikia wapi?was it official....
it was not real official bt mtu aliyesema alijitambulisha kama yy anafanya kaz uhamiaji.hiyo uliisikia wapi?was it official....
ahsant mkuu.Haikua mwz huu ni wa 4. Subiria.
kwani vivid maana yake nini mkuu??
bado mkuu.. wadau wanasema ni mpaka mwezi wa nne trh 21.hivi usaili umeshafanyika
Hivi kwanini siku hizi kuitwa kwenye usahili waajiri wengi hutoa taarifa kwenye magazeti au kwenye mitandao badala ya kupiga simu au kuwatumia barua...Nimesikitishwa na jamaa yangu alikuwa kijijini jina lake lilitoka kwenye usahili lakini taarifa alizipata kupitia mtu mwingine mwezi mmoja baada ya usahili... HIVYO alikosa fursa ya kuhudhuria usahili na alkadharika kukosa kazi
Hivi kwanini siku hizi kuitwa kwenye usahili waajiri wengi hutoa taarifa kwenye magazeti au kwenye mitandao badala ya kupiga simu au kuwatumia barua...Nimesikitishwa na jamaa yangu alikuwa kijijini jina lake lilitoka kwenye usahili lakini taarifa alizipata kupitia mtu mwingine mwezi mmoja baada ya usahili... HIVYO alikosa fursa ya kuhudhuria usahili na alkadharika kukosa kazi
Uwe na subra mchakato wa kupata wenye sifa unaendelea juzi tu jamani toka maombi kupokelewa!!!nipeni abari wakuu niliomba uhamiaji vip ndo tumechinjiwa bahari au