Maswali na majibu kuhusu Uhamiaji

Hivi kwanini siku hizi kuitwa kwenye usahili waajiri wengi hutoa taarifa kwenye magazeti au kwenye mitandao badala ya kupiga simu au kuwatumia barua...Nimesikitishwa na jamaa yangu alikuwa kijijini jina lake lilitoka kwenye usahili lakini taarifa alizipata kupitia mtu mwingine mwezi mmoja baada ya usahili... HIVYO alikosa fursa ya kuhudhuria usahili na alkadharika kukosa kazi
 
Hivi kwanini siku hizi kuitwa kwenye usahili waajiri wengi hutoa taarifa kwenye magazeti au kwenye mitandao badala ya kupiga simu au kuwatumia barua...Nimesikitishwa na jamaa yangu alikuwa kijijini jina lake lilitoka kwenye usahili lakini taarifa alizipata kupitia mtu mwingine mwezi mmoja baada ya usahili... HIVYO alikosa fursa ya kuhudhuria usahili na alkadharika kukosa kazi

technology mkuu.
 
Hivi kwanini siku hizi kuitwa kwenye usahili waajiri wengi hutoa taarifa kwenye magazeti au kwenye mitandao badala ya kupiga simu au kuwatumia barua...Nimesikitishwa na jamaa yangu alikuwa kijijini jina lake lilitoka kwenye usahili lakini taarifa alizipata kupitia mtu mwingine mwezi mmoja baada ya usahili... HIVYO alikosa fursa ya kuhudhuria usahili na alkadharika kukosa kazi

Wanaohitaji kazi ni wengi sana so usipokuwa mfatiliaji imekula kwako,hawana time ya kupigia watu 1000 kuja intavyuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom