Balozi wa Dodoma
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 477
- 177
Balozi wa Dodoma...upo kiongozi:thumbup:
nipo mkuu..najenga Taifa langu kama kawaida
Last edited by a moderator:
Balozi wa Dodoma...upo kiongozi:thumbup:
Vijana mtahangaika sana! mtakufa na presha bure; uhamiaji inawenyewe, kwenye interview mnaweza kuitwa ili kutimiza wajibu tu, lakini nafasi zinawenyewe! Chamsingi tafuteni kazi mkiwa na kazi; sio mnaomba kazi mkiwa vijiweni mnapiga majungu tu! vinginevyo mtasugua sana benchi mtaani mpaka mtaja......mba! teh teh teh teh!
Jumanne
Wewe hiyo kazi yako ya kwanza uliipata ukiwa na kazi?Vijana mtahangaika sana! mtakufa na presha bure; uhamiaji inawenyewe, kwenye interview mnaweza kuitwa ili kutimiza wajibu tu, lakini nafasi zinawenyewe! Chamsingi tafuteni kazi mkiwa na kazi; sio mnaomba kazi mkiwa vijiweni mnapiga majungu tu! vinginevyo mtasugua sana benchi mtaani mpaka mtaja......mba! teh teh teh teh!
Vijana mtahangaika sana! mtakufa na presha bure; uhamiaji inawenyewe, kwenye interview mnaweza kuitwa ili kutimiza wajibu tu, lakini nafasi zinawenyewe! Chamsingi tafuteni kazi mkiwa na kazi; sio mnaomba kazi mkiwa vijiweni mnapiga majungu tu! vinginevyo mtasugua sana benchi mtaani mpaka mtaja......mba! teh teh teh teh!
Inaelekea unadharau sana wewe!
Vijana mtahangaika sana! mtakufa na presha bure; uhamiaji inawenyewe, kwenye interview mnaweza kuitwa ili kutimiza wajibu tu, lakini nafasi zinawenyewe! Chamsingi tafuteni kazi mkiwa na kazi; sio mnaomba kazi mkiwa vijiweni mnapiga majungu tu! vinginevyo mtasugua sana benchi mtaani mpaka mtaja......mba! teh teh teh teh!
Vijana mtahangaika sana! mtakufa na presha bure; uhamiaji inawenyewe, kwenye interview mnaweza kuitwa ili kutimiza wajibu tu, lakini nafasi zinawenyewe! Chamsingi tafuteni kazi mkiwa na kazi; sio mnaomba kazi mkiwa vijiweni mnapiga majungu tu! vinginevyo mtasugua sana benchi mtaani mpaka mtaja......mba! teh teh teh teh!