TIGER KING
Member
- Jul 15, 2017
- 7
- 6
Brother umewaz mbal sana na swali lingne na mm linanichanganyaNaanza na hili
1.je dunia hii tunayoishi ina mwanzo wake na mwisho??????je mwisho wake ni wapi na mwanzo wake ni wapi?maana kama tukienda kusini katufiki mwisho..na tukienda kaskazin hatutafika mwisho!!!
Kazi kwenu wadau...najua yapo maswali mengi sana,
endelezeni mengine...
"hivi juu ni wap? Kama dunia ni sphere na watu tupo njee ya dunia sasa juu ni wap"
Post sent using JamiiForums mobile app