Totos Boss
JF-Expert Member
- Dec 30, 2012
- 5,456
- 1,569
Hakuna swali lisilojibika labda wewe huna jibu lake
fail to plan = plan to fail.
fail to plan = plan to fail.
Hili mmafundishwa huku africa tu, wazungu hawafundishwi hvyoTheory za KiSayansi wanasema mwanadam ametokana na sokwe...
Mtoto hakai tumbono kwa miezi tisa bali huumbwa au kitengenezwa kwa miezi tisaNa kama watoto hukaa tumboni mwa mama mjamzito miezi 9,kwanini wanapozaliwa wasiwe na miezi tisa badala yake ndo kwanza anaanza siku ya kwanza????
Kabla ya kuzaliwa ulikuwa wapi? na baada ya kufa unaenda wapi?Hakuna swali lisilojibika labda wewe huna jibu lake
fail to plan = plan to fail.
Lakini si akiwa haiMtoto hakai tumbono kwa miezi tisa bali huumbwa au kitengenezwa kwa miezi tisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Haujui kam kuna revolution n rotation mkuu? Hivyo ndo vnavofanya usione mwsho wake ... Vcngekuepo ungeuonaNaanza na hili
1.je dunia hii tunayoishi ina mwanzo wake na mwisho??????je mwisho wake ni wapi na mwanzo wake ni wapi?maana kama tukienda kusini katufiki mwisho..na tukienda kaskazin hatutafika mwisho!!!
Kazi kwenu wadau...najua yapo maswali mengi sana,
endelezeni mengine...