Maswali magumu ya mwanafalsafa Epicurus kuhusu mwenyezi Mungu

Sababu kuna chain, na ni hali halisi, na ukweli wa wazi kabisa.
Chain ni nini?

Hali halisi unaijuaje? Utajuaje unachokiona ni hali halisi na sio kwamba upo kwenye zone ya UPUMBAVU ambayo hukufanya ujione upo sahihi na hujui kama huyajui?

Hujathibitisha bado kivipi habari za muhamad zisiwiane na pazi aliyebebwa na jogoo

Hili limekushinda huliwezi. Naona unaruka ruka na kurudia ibara.
Tutaona hapa nani ambaye imemshinda. Swal lako limejibiwa kwa hoja yenye nguvu na hujaweza kupinga zaidi ya kulalamika.

Kama unapinga kua hoja haijakuzidi ebu ijibu

Hiyo tafsiri hata ingekuja kwa namna ambavyo wewe ulitaka, hiyo isingethibitisha kua creature huyo alikuwepo na tukio la muhamad kupaa lionekane ni kweli.

Kupishana kwa tafsiri kati ya rangi ya jogoo ambaye alimbeba pazi, haimaanishi kua liyepatia rangi iliyozungumziwa kitabuni atakua sahihi au atafanya jogoo huyo awe real.



Unakubali story ya Pazi ipo bila shaka. Ama kuhusu dhati ya habari ya Pazi inajulikana ni ya kusadikika, ila uwepo wa Stori ya Pazi ni kweli ipo.
Alikadhalika hata habari kuhusu muhamad nazo ni stori za kusadikika


Kwahiyo, nakukosoa katika kuandika mambo ya Uongo ya kuwa Ngugi ndiye aliyeandika habari za Pazi. Elewa hili.
Kwasababu hajaandika ngungi hivyo pazi ni habari ya kweli?

The same goes with Quran


Nani mtunzi wa habari za Injili ? Ili habari ya Pazi na Injili iwe sawa.
Nishakuambia ni vitabu vingi nimevisoma katika hivyo sio vyote vimemtaja mwandishi lakini hiyo haitoi tafsiri kua kitabu hakijaandikwa na mtu

Lakini hata hivyo mtunzi hana nafasi yeyote katika ugunduzi wa uhalisia wa habari kama ambavyo huko juu nimeeleza

Mfano mdogo kuna hiki kitabu kinaitwa physicology volume 3 hakija taja jina la mtunzi nimekuwekea link hapo
Psychology Volume 3: Thinking and Knowing (Psychology, Volume 3)

Kijana nataka marejeo ya Buraq siyo habari za Pazi, suala la Pazi limeisha
Swala la pazi Limeishaje ishaje

hili, sababu hakika yake inajulikana kwa kurejea maana ya Hadithi kwa Waswahili. Nipe marejeo ya maana ya Buraq usitoke nje ya hoja.
Hili nao lilikwisha isha naona unarudia tu

Kwakukusaidia labda nikuulize, nikikuba habari kutoka kwenye article ya kiislamu inayotoa maana ya hilo neno utakubaliana na jibu lake au utapinga kua article sio yakiislamu na jibu ni uongo?

Maneno ya kwenye mabano si maneno ya muhusika
Hapa natakauweke uthibitisho kisha weka na chanzo ulichotoa huo uthibitisho ikiwezekana na link kabisa

ndiyo maana hupimwa katika mizani, yaani hayapo katika matini ya asili. Bali ni maneno ya ziada. Maneno hayo ili yawe ya kweli yanatakiwa yawekewe ushahidi.
Thibitisha

Bika shaka kabisa ni maneno ya uongo, sababu hayajayasema yule mwenye kumjua huyo mnyama. Tutakuuliza wewe mmeyapata wapi hayo maneno.
Ebu niwekee uthibitisho kwanini maneno ya kwenye mabano huwakilisha uongo

Unataka nikuthibitishie mara ngapi
Kwani kunamahali umethibitisha?

Unaweza weka nukuu ya hilo jibu hapa?

Kuna swali nilikuuliza rahisi sana, ili uthibitisho kwako uwe ni uthibitisho unatakiwa uwe na vigezo gani ? Hili swali huwa unalikimbia sijui kwanini ?
Kwamba unataka kusema swali lako hilo halikujibiwa?

Unahakika kua swali hilo ulilouliza hapa sikulijibu post za nyuma?

Unahakika kwamba hukujibiwa ni vitu gani vinahitajika kuambata katika uthibitisho ili uthibitisho ujitosheleze?


Nacheka sana sasa kama unashindwa kuonyesha wapi umepata wapi ?

Kokote kule ambako hata ningepata tafsiri unayoitaka wewe kusingethibitisha muhamad yupo au hicho kiumbe kipo. So what's your point here?

Unaweza niambia wapi nikipata definition sahihi kuhusu pazi kutafanya habari yake kuwa kweli?

la hii maana ya Buraq maana uwepo wa mtume upo na nimesha uthibitisha na nilikunukulia maneno mara kadhaa, na ukatokomea.
Kwaiyo ukipewa maana ya jogoo itathibitisha pazi yupo na jogoo ni kweli alimbeba pazi?


Imesema siyo Farasi,soma maana niliyo kupa usipotezee watu muda kijana. Hakuna sehemu iliyosema Farasi zaidi ya maneno ya ziada katika maana ukiyo itoa maana ambayo haina asili.

Wapi hapo ?
Weka hapa tuone kama kunasehemu imesema hivyo, alikadhalika weka na chanzo
 
Usiache kutuambia ni vipi vigezo vya uthibitisho.
Rudi post ya nyuma ulipouliza swali kama hili nilishatolea ufafanuzi

Hili nimeshalithibitisha humu humu.
Nioneshe uthibitisho huo ambao unadai umeutoa dhidi ya hoja yangu uliyoi-quote
Nacheka sana, kama huijui sasa hiyo ndiyo Qur'aan,maneno ambayo hayana shaka ndani yake.
Nakukumbusha kua hujafanya jitihada yeyote mpaka dakika hii hujathibitisha chochote

Sasa cheza na hayi maneno uone shughuli yake. Ukweli wa hayo maneno uko wazi, kwanza unaonyesha ya kuwa Wakana Mungu wapo, lakini kwa kuwepo kwao hawana uwezo hata wa kuleta mfano wa hiyo Qur'aan, bali hata kuumba bawa la nzi hawawezi. Lakini swali ni je ?
1. Sisi tumejiumba wenyewe au
2. Tumetokana pasi na chochote ?

Hayo maswali yako nimeyajibu kwenye post yako ya mwanzo kabisa ulipouliza

Hii ndiyo Qur'aan ambayo ndiyo uhalisia wenyewe, na huo ndiyo ukweli wa Qur'aan na kuwepo kwake. Sasa jibu hayo maswali. Kadhalika watu walianza kukanusha uwepo wa Allah tangu zamani na kazi waliyo pewa ni hiyo, kama wao wanasema ukweli.

Kazi yangu imeisha.
Kazi ndio kwanza hujaianza, maswali unayoyauliza hapa nishayajibu
 
Hili suala lingine sasa ambalo libataka ushahidi,uwezo wa kimungu haumo ndani ya binadamu. Mafundisho haya ameyafundisha nani ?

Imeandikwa katika Bible mbona, labda kama wewe ni imani tofauti. Pia kukuelewesha itataka somo.
 
Unajuaje hicho unschoita madhihirisho ya Mungu kstika maisha yako kinathibitisha uwepo wa Mungu?

Ukiota wewe ni rais wa Tanzania hiyo ndoto inakufanya wewe uwe rais wa Tanzania?


Ni mdhihirisho kwa sababu nilitaka Mungu ahusike na akahusika.

Kuhusu ndoto.

Binafsi siamini katika ndoto. Na nina miaka kama mitatu sijaota. Nikilala hadi nikiamka sijaota. Sioti kwa sababu siamini katika ndoto. Mungu akitaka kusema na mimi anatumia njia nyingine.
 
Ni mdhihirisho kwa sababu nilitaka Mungu ahusike na akahusika.

Kuhusu ndoto.

Binafsi siamini katika ndoto. Na nina miaka kama mitatu sijaota. Nikilala hadi nikiamka sijaota. Sioti kwa sababu siamini katika ndoto. Mungu akitaka kusema na mimi anatumia njia nyingine.
Naona kuna maajabu mengine yanaendelea hua unaongea n'a mungu au hakili yako mwenyewe ndo umeipa nafasi kwa jinsi unavyowaza basi unajua ni mungu eeeee
 
Naona kuna maajabu mengine yanaendelea hua unaongea n'a mungu au hakili yako mwenyewe ndo umeipa nafasi kwa jinsi unavyowaza basi unajua ni mungu eeeee
Zipo njia nyingi za mtu kuzungumza na Mungu.

1. Wakati unapolisoma na kulitafakari neno lake. Mfano Biblia.

2. Wakati wa maombi.

3. Kupitia kuhudhuria mafundisho ya neno la Mungu na kujifunza.

4. Kusema na wewe ana kwa ana.
 
Nakumbuka Siku moja nilikuwa napitia Biblia-Agano Jipya..Hasa harakati za Mtume Paulo.

Ghafla nikaona jina la Epicurus,

Matendo Ya Mitume 17:5-34.

Paulo ndani ya Athens!!

Paulo ndani ya Uyunani akawa anamwanga hoja zake na kuelezea/Kusambaza habari za Yesu Wa Nazareth Mbele ya Epicurean &stoic Philosopher's.

Wafuasi wa Epicurus & stoic Wakasema huyu Mpuuzi anaongea mambo gani,Inaonekana anahabari mpya za Miungu wapya..


Paulo alivyogusia kuhusu ufufuo Wafu,Wayunani wale Wakampuuza,

Mtume akaondoka zake pale Athens,..!


St Paul and Philosophers-Athens.
 
Jiulize..Sasa hivi yupo wapi..?
Kama yeye alikua anaakili na mwelevu sana mbona hakuweza kutegua fumbo la kifo..yaani yuko state ipi kwa muda huu.

FYI. Maswali yake hayo yote karne ya 14 Mwanafalsa mwenye akili kuliko yeye Saint.Thomas Aquinas alijibu maswali yaje yote hayo bila kubakiza kitu
Hebu tupia alivyomjibu mkuu
 
Hebu tupia alivyomjibu mkuu
"Jiulize sasa hivi yupo wapi?".

Ni logical non sequitur. Ni swali ambalo halina tija.

Kwa sababu, kama mtu kufa maana yake maneno aliyosema hayana maana, wanasayansi wote ambao wamekufa lakini wametuletea maendeleo ya sayansi, walimu wote waliotufundisha lakini wamekufa, kufa kwao kunamaanisha yote waliyofanya hayana maana?

Hilo ni swali la reductivism.False reductivism at that.

Swali lina imply kwamba, ili maswali na hoja zako ziwe na mashiko, ni lazima usife.

Logical non sequitur.

In fact, kifo kinaonesha Mungu (mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote) hayupo kuliko kinavyoonesha Mungu yupo.

Mungu huyo angekuwepo, asingetenganisha ndigu, jamaa na marafiki wanaopendana kwa kifo.

Ni kama mtu atoe proof ya kuonesha 1 + 1 = 2, maelfu ya miaka iliyopita.

Halafu mtu anakuja kumpinga leo, sio kwa kuonesha kuwa 1 + 1 si 2, bali kwa kuuliza "jiulize yuko wapi".

Watu wasio na hoja mara nyingi hujikita kwenye habari za mtu binafsi badala ya hoja.

Katika kilatini wanaita hii " ad hominen".

Yani mtu katoa hoja, wameshindwa kujibu hoja zao, wanazi diwmiss kwa kusema "jiulize yuko wapi?".

Nikiwauliza huyo Mungu wao wanayesema yupo, yupo wapi wataweza kujibu?

Hili ni swali la mtu ambaye kashindwa kujibu maswali.

Na mpaka wewe unamuuliza, alimjibu vipi?

Maana hujapewa hata jibu lililotolewa.
 
Hujautendea haki uzi

Kweli Mkuu, Mada Kama hizi mkuu Dolunchess angepiga jembe kuchimba kwa ndani ...

Kuna yule alisema" Kama Mungu anaweza vyote ,na atengeneze gereza ambalo hawezi kutoraka, au kuumba jiwa asiloweza kulibeba na ikiwa ataweza vyote atakuwa sio muweza wayote.
 
Kuna mtu amethibitisha Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote yupo?

Au bado hadithi tu za kiimani?
nitamuabudu alisababisha ulimwengu uwepo na uwe katika mpangilio huu kwa maana naamini sio binadamu .ingawa simjui nani lakini ninamuabudu kwa maana naamini ndie aliyeniumba mimi thats why nipo compatible na nature
 
Kila kitu kina muundaji au muumbji wake.
Mjadala unapaswa kuwa ni nani hasa aliyemleta binadamu duniani sio kama kuna aliyemleta binadamu duniani.
Kuna mtu amethibitisha Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote yupo?

Au bado hadithi tu za kiimani?
 
Kila kitu kina muundaji au muumbji wake.
Mjadala unapaswa kuwa ni nani hasa aliyemleta binadamu duniani sio kama kuna aliyemleta binadamu duniani.
Unajuaje kila kitu kina muundaji au muumbaji wake?

Na unaelewa kwamba hata mtu akikukubalia kwamba kila kitu kina chanzo (muumbaji is rather anthropic and parochial), chanzo hicho si lazima kiwe Mungu, unatakiwa ku prove kwamba chanzo hicho ni Mungu, kitu ambacho mpaka sasa hujafanya?

Unaelewa kwamba kufikiri kuwa hiyo dhana nzima ya "cause and effect", kwamba muumbaji anakuwepo, halafu muumbaji anaumba kitu, kiumbe chake, unaelewa kwamba kufikiri kwamba hii ni lazima, kunasababishwa na elimu ndogo kuhusu mambo yalivyo?

Unaelewa hiyo habari ya "cause and effect" ni habari inayoonekana kwenye mid to large scale universe, ukienda kwenye small scale kwenye quantum physics huko, kuna effects zinatokea kabla ya cause na cause zinatokea baada ya effects na effects zinazotokea bila cause?

Unaelewa kwamba katika quantum physics cause and effect kama unavyoijua na kuisema wewe inavunjika na vitu vinakuwa probabilistic zaidi?

Unajua nini kuhusu double slit experiment?

Unajua nini kuhusu Heisenberg's Uncertainty Principle?

Unajua kwamba hata muda wenyewe ambao huwezi kuwa na cause and effect bila kuwa nao, kuna conditions zikifikiwa, kama vile moving at the speed of light, huwa (muda) unasimama?

Unaelewa kwamba from the perspective of a ray of light moving at the speed of electromagnetic waves in a vacuum, the world is timeless and therefore there is neither cause, nor effect?
 
Back
Top Bottom