Maswali kwa rais Kikwete na yatokanayo

Invisible

Robot
Feb 11, 2006
9,075
7,878


Naam,

Tido Mhando anaongea lakini sauti ilikuwa haisikiki vema na wamerekebisha.

Toka magazetini:

 
So kwenye hii thread tunatakiwa kuandika maswali yetu halafu yafowadiwe kwa raisi?
 
Tido anasema wameshapata maswali takribani 2,500 ya sms na karibu emails kama 500 hivi.

JK anasema atawajibu mmoja baada ya mwingine hata baada ya kipindi.

Atatafuta namna nyingine ya kujibu maswali baadae hata isipokuwa kwa njia ya Television
 
ameikana Ilani aliyochotea kura kuwa hakuiandika yeye na kama angiandika yeye ..... anaogopa sana

Swali la kwanza kutoka kwa tido guess what? Shule za Loawassa na mafanikio yake na mkuu anashusha data dalili za kwamba alishaambiwa kabla
 
JK anasema kama ni yeye basi shule za kata asingeziingiza kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM lakini kwakuwa CCM anayegombea haandai ilani basi hana budi kuitekeleza.
 
Shalom, jamaa hapo kachemka. Nadhani Tido hakumwandaa juu ya swali hilo!
 
Sidhani kama issue ya takwimu ina msaada sana na inapoteza muda wa kujibu maswali mengi... Hapa washauri wake wangemwambia namna ya kutumia dakika 90 hizi
 
Naona Rais anamwaga takwimu kama vile Maswali ya Tido alikuwa anayajua
 
Anazungumzia ujenzi wa maabara....na dola milioni 90 walizoahidiwa na ADB
 
JK ametoa weakness kubwa ya CCM kwamba mgombea haruhusiwi kuhusika ktk kazi ya kuandaa ilani ya uchaguzi. Pia ame-disown ilani anayoitekeleza sasa. Kwamfano anasema ingekuwa ilani imeandaliwa naye asingeweka suala la Sekondari kila kata.

Binafsi naona amekuwa muungwana kuonyesha tatizo/matatizo yanayotokana na ilani hiyo.
 
leo kazi ipo, naona mh ameshaikana ilani ya ccm kuwa yeye hakuandaa, kwahiyo kuna uwezekano mkubwa akakwepa kujibu swali lolote linalohusianb na ahadi zake kipindi cha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…