Maswali kwa rais Kikwete na yatokanayo

ok,since you hv decided to display u rself(9robably unafuata nyayo za J.M wa kwa michuzi),rusha pic yako tuprove you are not as short as him

U prove nini sasa? Si waulize tu hao wanaonijua uliodai wanasemaga mimi jina langu ni JM....
 
U prove nini sasa? Si waulize tu hao wanaonijua uliodai wanasemaga mimi jina langu ni JM....
nawaogopa mkuu wangu!tuyamalize,watakuja wenyewe wakipitia hapa.wana vimbelembele sana.ila umewamaliza safari hii.............
 
Kheeeee heeeeee heee!
Safi sana

Sasa safi sana ya nini? Ni watu wenye akili fupi kama ya kwako watakaoamini jumla jumla kuwa Julius Magembe ni jina langu la kweli. What if it is just a fictitious name created to be used only when communicating with people I meet here? Ever thought about that?

Don't you ever ever underestimate me. I know what I'm doing.
 
mi naona hakuna mtanzania aliyeuliza jipya zaidi ya maswali yale yale ambayo yanaulizwa kila siku bungeni na pia majibi yote yalishajibiwa bungeni natumai next time wataulizwa mswali ya matatizo yaliyoshindikana hicho ndicho tunachotakiwa kumuulizamheshimiwa siyo maswaliyaliyokwisha jibiwa bungeni kama kuna tatizo lisilokuwa na jibu kiongozi anakwamisha maendeleo ndhani hayo ndiyo maswali ya kumuuliza atupe jibu tukirudia maswali twapoteza nafasi hii
 
hakuna jipya,
Namuunga mkono Lipumba aliposema kuwa alitakiwa awepo na watu wa kumuuliza maswali ya kufuatilia majibu yake.
Pia kama walivyosema hapo juu, maswali na majibu yanafanana kabisa na tunayoyafahamu, ilitakiwa kuanzia hapo na kuuliza sasa maswali ya maana.
Bahati mbaya simu za mkononi, sms zilikuwa haziendi kabisa.
Mimi sms zangu hatimaye zimerudi zimeshindwa kwenda!!
Naruhusiwa kuhisi kuwa kulikuwa na maswali maalum yaliotakiwa kumfikia???
 
Your esteemed and well refined views find the greatest of understanding from my person. Naelewa challenge iliyopo mbele yetu kama ulivyoileta, naomba na wewe uelewe position yangu kama nilivyoileta despite my less refined presentation.

Cha kufanya hapa ni kuishinikiza serikali ili watanzania walio nje ya nchi waweze kupiga kura.Wanapiga kura Wa-Iran despite their country's iron grip (Iran filters it's internet access, tanzania does not).

Tukiruhusiwa kupiga kura hizi habari za watu wa nje hawa participate katika demokrasia kama inavyotakikana zitamalizwa.


Hizo resources zinataka either uwe na mtaji, au uje bongo na kuukumbatia ufisadi.Otherwise utaleta biashara za "asikilimu".Hatutaki kuukumbatia ufisadi ndiyo maana tunatafuta hiyo mitaji ili tukirudi turudi sio tu na jeuri ya kukataa kucheza ngoma ya ufisadi, bali pia kuweza kuwasha moto utakaounguza ukoma huu.

Inawezekana nikirudi nyumbani sasa hivi baada ya muda mfupi hata internet nisiweze ku afford, na swala la kwamba mawazo yangu yanaweza kusaidia likazidi kwenda mrama kwa sababu at least leo nimeweza kuweka pressure watu wa African Peer Review Mechanism (APRM) Tanzania Chapter waweke uozo wa nchi yetu - waliokuwa wanaubania - wauweke online tuuone.Hatimaye wameweka.Kwa hiyo mchango unatolewa tu hata kama upo nje, ili mradi nia iwepo.

Na kuna watu kibao wako bongo hawana hata muda wa kuangalia documents kama hizi au kufuatilia maendeleo ya nchi kwa ujumla.

Inawezekana ningekuwa nyumbani ningekuwa nacheza na vibatari saa hizi lol.

Bottom line mchango popote, even on some Tibetan slopes on the way from Lhasa.It's a flat world out here.

Tuko kwenye frequency moja kwamba mabadiliko hayawezi kuja Tanzania bila kurekebisha katiba na baadhi ya sheria, niliwahi kumjibu kelly kuwa watu walionje wanaweza kupetition kuwa kutoruhusiwa kwa watu waliopo nje kupiga kura ni ukiukwaji wa haki zao za msingi zilizoanishwa na katiba.

Kuhusu resources zipo nyingi tu ila attitude za watu ndio kama unavyosema waliopo kwenye nafasi wengi wao hawajui kitu au wanajifanya hawajui. Sheria angalau ingetungwa hususani kwa ajili ya black empowerment. I can tell you mzungu anakuja leo anaenda Benki za kigeni anapata mkopo mnene within a week with very weak collateral or without na wanaoanalyse ni sisi waswahili wenyewe,

Ngozi nyeusi nenda na collateral yako utaaambiwa this and that and finally no. This is what we need to change. Ufisadi unakuja kwa ajili hiyo watu wanajiuliza kama hatuangliwi na nchi yetu basi tuibe that is it

Lets make our country a paradise where we shall share the national cake equally and not a national park where every animal is afraid of another animal and where thee concept of survival fot ana animal is the very day in front of it ( kama ambavyo majority ya watanzania wanaishi)
 
Kama kweli JK anataka kusikia kero za Watanzania kwanini asifanye townhall meeting? Kwa dar afanye mkutano Kinondoni, Temeke and Ilala watu wamuulize maswali kwa kuchagua moja kwa moja.

Then kama azunguke hata mikoa mitano au sita, kuliko huu upuuzi wa maswali ya kwenye TV. Unadhani bibi yangu pale Kongei, Lushoto ameona JK alichozungumza kwenye TV? Kwanza hata umeme hana. Jee % ngapi ya Watanzania wana access ya TV?

Aliyetoa hii idea ya TV lazima atakuwa ni mmoja wa wana mtandao wenzie. This is total insane.
Mtanganyika!
Nakushukuru mara hamsini. Hilo la town hall hatadhubutu kwani hao washauri wake ni vilaza akina RA na Salva. Kama Mkwere kwa miaka 4 hajaweza kuwa na a live Q&A na waandishi wa habari hilo la town hall haliwezi. Hata juha Mwinyi aliwahi kufanya vizuri kuliko huyu MATAONYA alipokuwa anakutana na watu wamweleze shida zao. Of course alikuwa na Kamanda wake Naibu Waziri Mkuu Lytonga. Kama JK hawezi nashauri amtafute Naibu pRESIDA lakini sio yule pimbi kutoka unguja! Hakuna mabadiliko wote ni usanii na upuuzi mtupu!
 
JK jana alijitahidi sana kujibu kile alichoulizwa na sishangai tiyari alikuwa anajua mchezo utachezwa vipi tena waliutumia kwa umakini mkubwa, kwa hilo amejitahidi. Kizuri kisifie.

Pia hata Tido alijitahidi vya kutosha kuendesha hicho kipindi isionekane ni kupiga siasa za CCM. Hasa alivyomuuliza kuhusu Spika, kwani alikuwa anarusha rusha maneno.

Ila nilishangaa alivyoelezea kuwa wajumbe wa NEC walifikia kutamka maneno makali! nadhani hapo moja kwa moja alionyesha kutokusimamia vizuri hicho kikao akiwa Mwenyekiti kama tunavyosikia kwenye magazeti.

Pia kuhusu chama kugawanyika, kwakweli alijiumauma kwani jibu analo ni kuwaondoa mafisadi ndani ya chama lakini anakwepa kwepa kuwa kamati iliyoundwa itaweka sawa haya mambo, sitegemei kama wapambanaji na mafisadi kwa sasa kama wanaweza kukaa meza moja!

Acha tuwape muda aliimba Mpoki!

Inaelekea katika mambo yote aliyouliza Tido hilo la spika ndilo lilikonga moyo wako!! Hongera kwa kusimama kidete kumuunga mkono mzee.
 
Back
Top Bottom