Chukuwachakomapema watatafunana wenyewe kwa wenyewe, na utakuwa mwisho wao!Bado kuna Ng'ombe wengine wanajidanganya kuwa wapo salama wakiwa ndani ya CCM.
POLE POLE IS NO MORE, ABDULY NA MAFWELE WANAJUA WALICHOMFANYA1. Je Yuko hai?
2. Kama Yuko hai anafanywaje? Kula na kulala milele au ?
3.Je anayemtunza kama Yuko hai Huwa anaongea nae?
4. Au anampa Chakula na kuondoka?
5. Je kama Yuko hai anawaza nini? Kwamba kuna siku nitaliona jua?
6. Je anayemtunza/mfuga anamwambia maneno gani?
7. Kwamba pengine wewe hutaliona jua maisha yako yote?8. Kama ndivyo je serikali zijazo zenye utu zitamwachia huru?
9. Je anayempa Chakula polepole nayeye anafwatiliwa 24/7?
10. Kama you hai kisaikolojia atakuwaje?
11.Haya kama wamemuuwa je mwisho wake ulikuwaje?
12. Alilia?
13 Alipata nafasi ya kutubu Kwa wauwaji wake?
14. Je kifo chake kilikuwaje?
15. Cha maumivu?
16. Cha taratibu?
16. Mwili wake uliƧhomwa?
17. Ulitupwa baharini?
18. Ulimwagiwa tindikali?
19. Kumuua ni rahisi kuliko aendelee kuwa hai?
20. Atavujisha siri za alipokuwa nk.
Maswali haya yanayomhusu POLEPOLE ni ya wote waliokufa ambao maiti zao hazijaonekana mpaka leo. Baadhi ya maswali hapo hayamhusu mtu kama Mzee MOHAMMED ALLY KIBAO and the alike.
Huzuni sana.Hapo ni pamoja na Ben Saanane,Azory Gwanda,Mdude Nyagali na wengineo wengi katika orodha.1. Je Yuko hai?
2. Kama Yuko hai anafanywaje? Kula na kulala milele au ?
3.Je anayemtunza kama Yuko hai Huwa anaongea nae?
4. Au anampa Chakula na kuondoka?
5. Je kama Yuko hai anawaza nini? Kwamba kuna siku nitaliona jua?
6. Je anayemtunza/mfuga anamwambia maneno gani?
7. Kwamba pengine wewe hutaliona jua maisha yako yote?8. Kama ndivyo je serikali zijazo zenye utu zitamwachia huru?
9. Je anayempa Chakula polepole nayeye anafwatiliwa 24/7?
10. Kama you hai kisaikolojia atakuwaje?
11.Haya kama wamemuuwa je mwisho wake ulikuwaje?
12. Alilia?
13 Alipata nafasi ya kutubu Kwa wauwaji wake?
14. Je kifo chake kilikuwaje?
15. Cha maumivu?
16. Cha taratibu?
16. Mwili wake uliƧhomwa?
17. Ulitupwa baharini?
18. Ulimwagiwa tindikali?
19. Kumuua ni rahisi kuliko aendelee kuwa hai?
20. Atavujisha siri za alipokuwa nk.
Maswali haya yanayomhusu POLEPOLE ni ya wote waliokufa ambao maiti zao hazijaonekana mpaka leo. Baadhi ya maswali hapo hayamhusu mtu kama Mzee MOHAMMED ALLY KIBAO and the alike.
They're now shooting each other, karma never forgets.POLE POLE IS NO MORE, ABDULY NA MAFWELE WANAJUA WALICHOMFANYA
Mimi nahisi Polepole alistahili haya kwa sababu wao na mjomba wake wa Chato ndiyo waaanzilishi wa utekaji na alikuwa kimya kabisa.Aiseee, watawala kwa hili WAMEKOSEA SANA SANA...š¢š¢š¢š¢š¢
Baada ya 7/7 nitafute, utanikuta, wewe ni shujaa wa mtandaoniMWisho wenu ni sabasaba
Je unaposema alitubu, aliwahi kukosoa au kutaja madhaifu ya Magufuli?? Aliwahi kusema ni wapi walitupa mabaki ya mwili wa Ben Saanane? Aliwahi kueleza ni nani walimshambulia Tundu?Mkuu Stuxnet Polepole alitubu na akawa upande wa haki. Kabla ya kutekwa alifanya kazi ya kizalendo sana. Najua unaweza kusema mirija yake ya asali na maziwa ilikatwa, hilo sisi halituhusu ila tufocuss na toba aliyoifanya na kuwa upande wa haki. Hivyo tunapaswa kumsamehe na kumchukulia kama shujaa kwa kupigania haki kabla ya kutekwa
Hawa wengine ni mbegu ila polepole anastahili kupitia Kwa sababu mfumo huu dharimu alihusika kuanzisha enzi za magufuliNachoweza kusema tu katika huu Uzi ni.
"T h e g r a i n o f w h e a t"
Ili mmea uote na utoe matunda lazima uzikwe ardhini, hivyo Pole pole, Sanane, Soka, Chaula,Mbise,Mdude nk ni sehemu ya mbegu ambazo zimepandwa. Siku si nyingi Sana Ccm na mfumo huu ukandamizi utakuja kupata pigo ambalo hawatakua kulisahau katika maisha yao na huenda nchi yetu ikaanza upya.
Inawezekana ni kweli lakini Kuna wakati ili ukombozi upatikane lazima atokee mtu anayeujua mfumo wa unyanyasaji barabara mfano kwa wakristo bila yuda iskariote kumsaliti yesu aliyekuwa anamfahamu kindakindaki pengine ukombozi usingekuja au ungechelewa hivyo Polepole naye ni sehemu ya mbegu Bora kabisa iliyokuwa inaufahamu mfumo wa kinyonyaji barabara na ikaamua dakika za mwisho kuwa upande wa haki.Hawa wengine ni mbegu ila polepole anastahili kupitia Kwa sababu mfumo huu dharimu alihusika kuanzisha enzi za magufuli
Johnny DeppNimeikumbuka hii movie:
Pirates of the Caribbean: Dead Men Tell No Tales (2007)
Mkuu wewe una mtazamo kama wangu... Nashangaa watu wanachanganya mambo... Yaani watu wanawaweka Polepole, Tundu Lissu, Mdude, Ben Saanane etc kundi moja..Je unaposema alitubu, aliwahi kukosoa au kutaja madhaifu ya Magufuli?? Aliwahi kusema ni wapi walitupa mabaki ya mwili wa Ben Saanane? Aliwahi kueleza ni nani walimshambulia Tundu?
Alijirudi na kutubu huku akishiri bega kwa bega katika harakati za kupambania haki, wahenga walinena better late than never.Pole pole alinywea kikombe alichostahili kwasababu wao ndio waanzilishi wa kuteka watu na kupoteza watu enzi za magufuli alichopata alisitahili kukipata.