nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,609
- 4,097
Naleta maswali yanayonitatiza sana.
1. Je? Ni kweli kuwa ili kupeleleza tukio lolote ni lazima muhusika atoe ushirikiano na wapelelezaji?
2. Yes hata kama muhusika ameshindwa kutoa ushirikiano.
Inasemekana wauaji/waliokusudia kumuua Mbunge Tundu Lissu walishika kitasa cha mlango wa gari baada ya kuona umelokiwa wakaamua kuuacha na kupiga risasi wakijua bullet haziwezi kuzuiwa na material ya ukuta wa mlango wa gari.
Je? Imeshindikana kutumia wataalamu wa maabara ili kupata DNA za wapigaji?
3. Wanasema alipigwa kwenye makazi ya viongozi.
Je? Hakukuwa hata na wafanyakazi wa ndani ili waulizwe kama Hilo tukio walilishuhudia.
4. Police kama kweli Wana Nia ya kuendelea na kufungua file la upelelezi wameshindwa kujua details za ulinzi siku hiyo ili waliokuwa walinzi eneo Hilo waulizwe ni nani alitoa amri siku hiyo kuondolewa ulinzi?
Wito Kwa Mzee Kinana, mshauri rais waliohusika wakamatwe ili nafsi zilizoumizwa ziponywe.
1. Je? Ni kweli kuwa ili kupeleleza tukio lolote ni lazima muhusika atoe ushirikiano na wapelelezaji?
2. Yes hata kama muhusika ameshindwa kutoa ushirikiano.
Inasemekana wauaji/waliokusudia kumuua Mbunge Tundu Lissu walishika kitasa cha mlango wa gari baada ya kuona umelokiwa wakaamua kuuacha na kupiga risasi wakijua bullet haziwezi kuzuiwa na material ya ukuta wa mlango wa gari.
Je? Imeshindikana kutumia wataalamu wa maabara ili kupata DNA za wapigaji?
3. Wanasema alipigwa kwenye makazi ya viongozi.
Je? Hakukuwa hata na wafanyakazi wa ndani ili waulizwe kama Hilo tukio walilishuhudia.
4. Police kama kweli Wana Nia ya kuendelea na kufungua file la upelelezi wameshindwa kujua details za ulinzi siku hiyo ili waliokuwa walinzi eneo Hilo waulizwe ni nani alitoa amri siku hiyo kuondolewa ulinzi?
Wito Kwa Mzee Kinana, mshauri rais waliohusika wakamatwe ili nafsi zilizoumizwa ziponywe.