Maswali fikirishi shambulio la Tundu Lissu

Hao wote wanatakiwa kuhojiwa lakini kwanza si ni wahusika wakuu waanze kutoa maelezo? Kwa uelewa wangu mdogo kesi kuanza polisi wanahojiwa kwanza wahusika wakuu waliotendwa...lissu na dereva, then baada ya hapo mengine yanaendelea.
Unda picha km angekufa maelezo wangeyatoa wapi,
 
Mkuu, sasa polisi wataanzia wapi kama wahusika wasipohojiwa? Naomba kueleweshwa
Vipi kama huyo Tundu Lissu na dereva wake wangepoteza maisha kupitia hilo shambulio? Wangehojiwa wakiwa marehemu? Au kesi isingekuwepo kwa sababu wahanga wamefariki eneo la tukio?

Vipi kama tukio kama hilo hilo lingetokea kwa kiongozi wa Serikali, au chama cha Mapinduzi? Mfano Waziri, Spika, Naibu spika, Katibu mkuu wa CCM, nk! Bado unadhani wangetakiwa kutoa ushahidi katika tukio la kuogofya kama lile?
 
Unda picha km angekufa maelezo wangeyatoa wapi,
Sheria haifanyi imaginations. Lissu yupo hai akitaka kupata haki itendeke akiwa bado hai anaweza.
Ninachoona mimi ni kelele za mitandaoni tu but no real actions. Nipo upande wa lissu kutaka kujua nini hasa kilitokea.

Labda unasuggest serikali ifanyeje kama muhusika mwenyewa hajaenda kulalamika?
Naomba nizidi kuelimishwa tafadhali inawezekana kuna kitu bado sijaelewa
 
Si Lisu wala dereva wake ambaye yuko tayari kutoa ushirikiano, yani amepigwa risasi yeye lakini anataka wakahojiwe watu wengine. Jinga kabisa
Kuhoji mtu nilazima muhusika aje.Au mnataka dereva aje mmalize.Jinai aifi,ngoja waendelee kufa kwanza wahusika Ili akirudi apate salama
 
Vipi kama huyo Tundu Lissu na dereva wake wangepoteza maisha kupitia hilo shambulio? Wangehojiwa wakiwa marehemu? Au kesi isingekuwepo kwa sababu wahanga wamefariki eneo la tukio?

Vipi kama tukio kama hilo hilo lingetokea kwa kiongozi wa Serikali, au chama cha Mapinduzi? Mfano Waziri, Spika, Naibu spika, Katibu mkuu wa CCM, nk! Bado unadhani wangetakiwa kutoa ushahidi katika tukio la kuogofya kama lile?

Wangefariki ipo wazi kabisa kesi isingekuwepo pia

Na ni kweli usemayo kuwa ingekuwa ni kiongozi wa serikali au CCM uchunguzi ungefanyika.

Je hakuna njia nyingine ya kushinikiza uchunguzi ufanyike, labda kwa kufungua kesi.
Au serikali ikiamua kupotezea kama inavyofanya ndo imetoka hiyo hakuna kinachoweza kufanyika?
 
Aliyewatoa walinzi siku ile, aliyezima cctv pia walitoa namba ya gari lilokuwa linawafutilia nani mmiliki wake.Sijui nimekusaidia mkuu Demi
Na baada ya tukio kwann walinzi wale walihamishwa nje ya mkoa kabisa. Baada ya tukio zile gari zilizokuwa speed toka Dom kuelekea Dar pasipo kuzuiwa na traffic ambazo zilitambulika kwenye tukio zilikuwa ni za nani?
 
Kwann wabunge wa ccm walipigwa biti kwenda Nairobi.
Kwann watz walizuiwa na walikamatwa kwa kufanya maombi ya kumuombea Lisu, kuvaa t shirt za Lisu, kujitolea damu. Nyalandu alifanywa nini alipokaidi kutokwenda Nairobi.
 
Na baada ya tukio kwann walinzi wale walihamishwa nje ya mkoa kabisa. Baada ya tukio zile gari zilizokuwa speed toka Dom kuelekea Dar pasipo kuzuiwa na traffic ambazo zilitambulika kwenye tukio zilikuwa ni za nani?
Itajulikana upelelezi/kesi ikianza.
 
Unaamini JPM alitoa amri, ulikuwepo?

1. Kama ni chama chake kinahusika?maana pia kama unaongea mambo ya kufikirika pia watu walisha sema alitaka uenyekiti ktk chama chake na ndiyo sababu.

2. Kama aliwahi kupindisha sheria ktk kesi fulani na Wenye haki iliyo dhulumiwa ndiyo walimfuata?

3. Yeye ni nani kiasi asiwe na adui wa kawaida ktk jamii.

4. Serikali na mkuu wa nchi aende akatumie njia ya risasi itakayo leta maneno mengi akose majajusi wa kumpoison kimya kimya?

5. Dereva wake aliyekua ndiyo shahidi wa kwanza walienda naye na wakawa hawataki hata kumrejesha ili ahojiwe nini kilitokea,na yeye hana jeraha hata moja?mmmh!

Brother,wananchi tuko na akili pia
 
Unaamini JPM alitoa amri, ulikuwepo?

1. Kama ni chama chake kinahusika?maana pia kama unaongea mambo ya kufikirika pia watu walisha sema alitaka uenyekiti ktk chama chake na ndiyo sababu.

2. Kama aliwahi kupindisha sheria ktk kesi fulani na Wenye haki iliyo dhulumiwa ndiyo walimfuata?

3. Yeye ni nani kiasi asiwe na adui wa kawaida ktk jamii.

4. Serikali na mkuu wa nchi aende akatumie njia ya risasi itakayo leta maneno mengi akose majajusi wa kumpoison kimya kimya?

5. Dereva wake aliyekua ndiyo shahidi wa kwanza walienda naye na wakawa hawataki hata kumrejesha ili ahojiwe nini kilitokea,na yeye hana jeraha hata moja?mmmh!

Brother,wananchi tuko na akili pia
Aliyerudi kung'oa CCTV ujasiri huo ni nani?
Aliyewazuia wasimuombe Lisu ni nani?
Aliyewakataza wachama chake wasiende Nairobi ni Mbowe?
 
Maswali yako yote ni kujichosha, jambo lipo wazi kabisa kwamba Jiwe alitaka kumuua Lissu. Tulio la kumcharaza risasi Mbunge akiwa kwenye vikao haliwezi kufanyika bila baraka za Mkuu wa Nchi.
 
Back
Top Bottom