Mr. Teacher
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 330
- 88
kama issue ni kushangaa mtu mwenye Advance Diploma kufanya Masters basi mleta mada haelewi mfumo wa elimu
Profession Please, not professionalkwani Bill Gate anaebdesha mwenyewe biashara zake au anatumia watu mbalimbali wenye professional tofautitofauti?
ha ha ha, mnatukashifu tuliosoma MZUMBE DAR, kwa kifupi MASTERS AYA MZUMBE DAR NI ILE ya Chupi, research watoto wa kike wanafanyiwa na watu wa ststionries, na wengine wanakopi za tumaini Iringa, yani wanatoka na makaratasi na si knowledge.Nawaomba uongozi wa Mzumbe University mfikirie upya hizi degree za masters mnazozitoa huko mitaani/Centres za mikoani. Mnaua ubora wa elimu nchini. Si jambo jema academically, mtu wa Advanced diploma kusoma masters bila basic degree! Nimeona products wenu wana mapungufu mengi! unawaona kabisa kuwa kuna vacuum upstairs with regard to professionalism worth of Masters degree level. Re-think your programme.
Sasa mmebatizwa kwa kuitwa "MAHARAGE YA MBEYA" kuwa yanaiva haraka/mapema! Nipigeni madongo, lakini ngoja niliseme
Zipoje?Tatizo si kuwa na bachela au advanced diploma. Tatizo ni masters products za mzumbe
Ha ha haWatu tumekamata vitengo wewe unaona aibu???? we endelea kusubiri ya Bagamoyo University
Acha kufananisha jiwe na vitu vya kijinga bana wwKwani ni kipi kipya ambacho aliesoma degree kinamfanya awe compentent kuliko aliyesoma advanced diploma, Tena degree zenyewe za kutafta coursework na kwenda semester nyingine.
Chuo gani tanzania hakitoi degree za makaratasi ama za kukariri masomo?ha ha ha, mnatukashifu tuliosoma MZUMBE DAR, kwa kifupi MASTERS AYA MZUMBE DAR NI ILE ya Chupi, research watoto wa kike wanafanyiwa na watu wa ststionries, na wengine wanakopi za tumaini Iringa, yani wanatoka na makaratasi na si knowledge.
ambavyo hahijatajwa hapo.Chuo gani tanzania hakitoi degree za makaratasi ama za kukariri masomo?
Ahahahaaaaa . . . . . mpaka raha yaani. Nimelipenda swali lako mkuu. It's high time tupeane za uso ukweli ujulikaneKwani ni kipi kipya ambacho aliesoma degree kinamfanya awe compentent kuliko aliyesoma advanced diploma, Tena degree zenyewe za kutafta coursework na kwenda semester nyinginE
Elimu ya Tanzania kwa sasa famba tu. Ukikutana na graduates wengi huku kwenye industry yaani empty kabisaambavyo hahijatajwa hapo.
Dogo unaijua equivalence ? Tuanzie hapa kwanzaAcha kufananisha jiwe na vitu vya kijinga bana ww
zaidi ya famba, na wengi wao ndio wanakimbilia kuajiriwa serikaliniElimu ya Tanzania kwa sasa famba tu. Ukikutana na graduates wengi huku kwenye industry yaani empty kabisa
kwenye mambo ya kubabaisha kama utawala, fedha na mambo kama hayo, not hard sciencehivi bill gates akienda chuo chochote duniani wanamuweka darasa gani.. certificate, degree, masters, phd au?
experience ina value sana kuliko elimi ya makaratasi..
wazungu wanasema experience ni best teacher