Naomba kujuzwa ubora wa elimu inayotolewa St. Joseph University in Tanzania kozi ya ualimu wa sayansi

Future eyes

Senior Member
May 30, 2022
126
65
Habari ndugu zangu, naomba kufahamu kwa anayefahamu ubora wa bachelor degree zinazotolewa na chuo kikuu cha St. Joseph in University upande wa elimu kwani nina ndoto za kusoma chuo hicho.
 
Ni chuo kizuri kinatoa graduate competent sana Soma hiyo kozi kwenye hicho chuo hutojuta,wako vizuri sana
Utakua mwalimu bora wa sayansi practically na theoretical

Unawaza kuchukuq masomo yapi yq sayansi? Watu wa physics wanaxhukuliwa mapena sana hawakai
Waliomaliza 2021 wameajiriwa 2022 Kama ulisoma phyisics basi chukua hiyo uchagua ICT na physics hutoonja joto la mtaani.
 
Ni chuo kizuri kinatoa graduate competent sana Soma hiyo kozi kwenye hicho chuo hutojuta,wako vizuri sana
Utakua mwalimu bora wa sayansi practically na theoretical

Unawaza kuchukuq masomo yapi yq sayansi? Watu wa physics wanaxhukuliwa mapena sana hawakai
Waliomaliza 2021 wameajiriwa 2022 Kama ulisoma phyisics basi chukua hiyo uchagua ICT na physics hutoonja joto la mtaani.
Nimesoma PGM hivyo nataka kuchukua Bachelor's degree of science with education with physics and mathematics

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Nimesoma PGM hivyo nataka kuchukua Bachelor's degree of science with education with physics and mathematics

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Safi sana inafaa Ila kwa dunia ya sasa ingependeza sana na ningekushauri
Uchukue ict na physics au mathematics na ict Ili uwe na wigo mpana ata kusaka fursa vyuo vya ufundi yaani veta na vile vya kati vilivyo chini ya NACTE n.k itakusaidia sana maana kwenye maisha huwa tunatafuta penye nafuu zaidi.

Computer itakuuza fasta vyuo vya ufundi na vya kati Na hesabu pia na ata physics ambayo wao wanaita engineering science. Kwa hiyo ata kama umeajiriwa na Tamisemi utapambana kuhamia veta chap maana vyuo vinajengwq kila leo,kule masilahi mazuri kimtindo tofauti na kule secondary.

Kwa kifupi hayo masomo unauzika vizuri sana. Imagine mwalimu wa degree sayansi ajira mpya secondary ana laki 8 na elf 5,wakati yule wa degree kule veta ana tutor yaani mkufunzi ananza na 1.43m, jaribu kuchekecha akili.

Kule veta na vyuo vya ufundi vingine pqmoja nq vile vyuo vya kati kwa maana vya certificate na diploma ,masomo kama english,hesabu na engineering sayansi ni masomo ya uelewa tu ila computer ni somo la fani
 
Safi sana inafaa Ila kwa dunia ya sasa ingependeza sana na ningekushauri
Uchukue ict na physics au mathematics na ict Ili uwe na wigo mpana ata kusaka fursa vyuo vya ufundi yaani veta na vile vya kati vilivyo chini ya NACTE n.k itakusaidia sana maana kwenye maisha huwa tunatafuta penye nafuu zaidi.

Computer itakuuza fasta vyuo vya ufundi na vya kati Na hesabu pia na ata physics ambayo wao wanaita engineering science. Kwa hiyo ata kama umeajiriwa na Tamisemi utapambana kuhamia veta chap maana vyuo vinajengwq kila leo,kule masilahi mazuri kimtindo tofauti na kule secondary.

Kwa kifupi hayo masomo unauzika vizuri sana. Imagine mwalimu wa degree sayansi ajira mpya secondary ana laki 8 na elf 5,wakati yule wa degree kule veta ana tutor yaani mkufunzi ananza na 1.43m, jaribu kuchekecha akili.

Kule veta na vyuo vya ufundi vingine pqmoja nq vile vyuo vya kati kwa maana vya certificate na diploma ,masomo kama english,hesabu na engineering sayansi ni masomo ya uelewa tu ila computer ni somo la fani
Mkuu umemshauri vizuri sana aisee

Msaada namna ya kupambania kupata chance huko VETA m n mwajiriwa Ortamisemi

Masomo Physics and ICT (degree) nafundisha secondary
 
Mkuu umemshauri vizuri sana aisee

Msaada namna ya kupambania kupata chance huko VETA m n mwajiriwa Ortamisemi

Masomo Physics and ICT (degree) nafundisha secondary

Lazima uwe na GPA YA 3.5+ kama unayo andika barua kwa katibu mkuu wizara ya elimu kuomba kuhamia chuo cha kati.
 
Safi sana inafaa Ila kwa dunia ya sasa ingependeza sana na ningekushauri
Uchukue ict na physics au mathematics na ict Ili uwe na wigo mpana ata kusaka fursa vyuo vya ufundi yaani veta na vile vya kati vilivyo chini ya NACTE n.k itakusaidia sana maana kwenye maisha huwa tunatafuta penye nafuu zaidi.

Computer itakuuza fasta vyuo vya ufundi na vya kati Na hesabu pia na ata physics ambayo wao wanaita engineering science. Kwa hiyo ata kama umeajiriwa na Tamisemi utapambana kuhamia veta chap maana vyuo vinajengwq kila leo,kule masilahi mazuri kimtindo tofauti na kule secondary.

Kwa kifupi hayo masomo unauzika vizuri sana. Imagine mwalimu wa degree sayansi ajira mpya secondary ana laki 8 na elf 5,wakati yule wa degree kule veta ana tutor yaani mkufunzi ananza na 1.43m, jaribu kuchekecha akili.

Kule veta na vyuo vya ufundi vingine pqmoja nq vile vyuo vya kati kwa maana vya certificate na diploma ,masomo kama english,hesabu na engineering sayansi ni masomo ya uelewa tu ila computer ni somo la fani
Mkiwa mnaandika muwe na uhakika, yupi mwalimu wa degree analipwa laki nane au hujui mifumo ya mishahara mkuu
 
Lazima uwe na GPA YA 3.5+ kama unayo andika barua kwa katibu mkuu wizara ya elimu kuomba kuhamia chuo cha kati.
Lazima uwe na GPA YA 3.5+ kama unayo andika barua kwa katibu mkuu wizara ya elimu kuomba kuhamia chuo cha kati.
VETA hakuna GPA mkuu, na ata vyuo vya kati , vingine vingi haviangaliaa GPA japo vichache vimejiwekea hivyo kwa kifupi instructor na Tutor haiangaliwi GPA,fuatlia ata matangazo yanayotolewa utumishi utagundua hilo na vyuo vichache sana vinavyoangalia GPA
 
Mkuu umemshauri vizuri sana aisee

Msaada namna ya kupambania kupata chance huko VETA m n mwajiriwa Ortamisemi

Masomo Physics and ICT (degree) nafundisha secondary
Mkuu umemshauri vizuri sana aisee

Msaada namna ya kupambania kupata chance huko VETA m n mwajiriwa Ortamisemi

Masomo Physics and ICT (degree) nafundisha secondary
Unauzika mkuu pambana,hayo masomo yote veta yanafundishwa
Physics wanaita engineering science na hiyo ict,kwa kifupi wewe ni potential mkuu
 
Safi sana inafaa Ila kwa dunia ya sasa ingependeza sana na ningekushauri
Uchukue ict na physics au mathematics na ict Ili uwe na wigo mpana ata kusaka fursa vyuo vya ufundi yaani veta na vile vya kati vilivyo chini ya NACTE n.k itakusaidia sana maana kwenye maisha huwa tunatafuta penye nafuu zaidi.

Computer itakuuza fasta vyuo vya ufundi na vya kati Na hesabu pia na ata physics ambayo wao wanaita engineering science. Kwa hiyo ata kama umeajiriwa na Tamisemi utapambana kuhamia veta chap maana vyuo vinajengwq kila leo,kule masilahi mazuri kimtindo tofauti na kule secondary.

Kwa kifupi hayo masomo unauzika vizuri sana. Imagine mwalimu wa degree sayansi ajira mpya secondary ana laki 8 na elf 5,wakati yule wa degree kule veta ana tutor yaani mkufunzi ananza na 1.43m, jaribu kuchekecha akili.

Kule veta na vyuo vya ufundi vingine pqmoja nq vile vyuo vya kati kwa maana vya certificate na diploma ,masomo kama english,hesabu na engineering sayansi ni masomo ya uelewa tu ila computer ni somo la fani
Shukrani sana ndugu kwa ushauri wako
 
Back
Top Bottom