POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,402
Last edited by a moderator:
Mbona mlishafanya huo mpango angalia hapa kwenye link (Kigamboni New City) au mnataka kupiga hela nyingine za ili mtutengenezee video nyingine?
mweshimiwa waziri uholela ni uzembe tena uzembe wa serikali, pale upangaji wa mji unapokuwa uko nyuma na kasi ya ukuaji wa mji iko mbele ndio matokeo yake. tusitegemee kujenga miji yetu kwa staili ya kuwaacha watu wajenge holela alafu tuje kuwafidia na kuwahamisha. ni gharama kubwa sana kujenga mji uliokwisha vurugika na hapo tunazungumzia watanzania wa kipato cha kati na chini kuwaondoa mijini.WanaJF
Ninakaribisha maoni yenu hasa nyie mlio nje na mnaishi katika miji iliyopangwa? Je uholela unavumiliwa au kuendekezwa? Tupe habari.
Mama Tibaijuka
Mkuu Anna Tibaijuka nasapoti hoja yako ila kwa mawazo tofauti!
Suala la masterplan ni suala la serikali inajenga ama property developer? Ukiangalia picha hapo chini ni mji wa mwanza, watu wanakimbilia milimani na matokeo yake miundombinu inakuwa shida kuwafikia na kuongeza makazi holela.
Ninachoomba suala la upimaji wa ardhi ipewe sekta binafsi na serikali ibaki kuwa wasimamizi wa zoning. Sababu kubwa ni urasimu uliopo serikalini..viwanja vikipimwa mwaka huu mnaweza kukaa hadi miaka 3 hamjui nini hatma yenu nami ni mmoja wa wahusika coz toka mwaka 2010 kuna viwanja vilipimwa mpaka leo jiji wapo kimya.
Mimi nashauri hiyo kazi wapewe property developers
WanaJF
Ninakaribisha maoni yenu hasa nyie mlio nje na mnaishi katika miji iliyopangwa? Je uholela unavumiliwa au kuendekezwa? Tupe habari.