Kyokola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 1,402
- 1,889
Alikuwa anaitwa P. Diddy ( kibongo bongo lakini)
Maimartha kachezea sana kichapo toka kwa P.diddy alipokua hai. Jamaa nakumbuka alifariki ghafla, alidondoka njiani na kufariki wala hakuugua.
Alikuwa anaitwa P. Diddy ( kibongo bongo lakini)
Alikuwa anaitwa P. Diddy ( kibongo bongo lakini)
Amezini miaka 10!
Mtayarishaji mkongwe wa muziki nchini, Joseph Kimario ‘Master Jay’, ameweka wazi mpango wake wa kufunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu, Sara Kaisi ‘Shaa’.
Master J amesema Shaa atakuwa mke bora kwake kwani tayari ameshaishi naye kwa miaka 10 bila matatizo yoyote.
“Miaka 10 niliyoishi naye nimemwelewa vizuri, anastahili kabisa kuitwa mke wa Master J hapa nafanya taratibu za kumuoa ili tuishi maisha ya mke na mume,” Master J aliliambia gazeti la Mtanzania.
Mtayarishaji huyo wa muziki alisema kwamba anampenda Shaa kwa sababu ni msichana anayejielewa, licha ya kuwa msanii hasahau jamii inayomzunguka huku akijituma sana katika kazi zake zote kwa ujumla.
Yeah nasikia mlio wa honi tu pale kitega uchumi Posta uliondoa maisha yake....Maimartha kachezea sana kichapo toka kwa P.diddy alipokua hai. Jamaa nakumbuka alifariki ghafla, alidondoka njiani na kufariki wala hakuugua.
***** 10 years, duh huu ni Zaidi ya uchumba sugu
Kaolewa au kazalishwa?kaolewa Zari wa watoto wanne sembuse Shaa
Uchumba wa mwendokasi......***** 10 years, duh huu ni Zaidi ya uchumba sugu
Kumbe kwao wana hela!Yap Prof Kaisi wa Mikocheni.
Mpenzi wa Maimartha si alikuaga yule mtangazaji shoga wa EATV anapenda kutangaza Bolingo. Anavaa hereni.Maimartha kachezea sana kichapo toka kwa P.diddy alipokua hai. Jamaa nakumbuka alifariki ghafla, alidondoka njiani na kufariki wala hakuugua.
Ben Kinyaiya....Yule alikuwa mtangazaji mwenzake tu.Mapenzi wa Maimartha si alikuaga yule mtangazaji shoga wa EATV anapenda kutangaza Bolingo. Anavaa hereni.