Massage Parlours/madanguro

Miikion hair sijui wanachokata ni nini.. Wanaume wanawasumbua wadada thenwakipewa mbunye wanaume hao wao wanakuja hapa kulia lia . Si unguruwe huu ni nini?

Ha ha haaaa nimecheka sana!!...ni kweli amini maneno yangu asilimia kubwa sana ya wanaume(sio wote) waingiapo massage room wao ndio wakwanza kuanza kulia lia kule chumbani' mara ooh nimekupenda ghafla,mara oooh kwanza mshahara wako hapa ni bei gani nk nk nk. Sasa ikatokea huyo muhudumu akamkubalia kuvua chupi sasa shida zake ndio hizi wanakuja hapa JF na kashfa kibao.
 
Mimi najua sana manake mimi huwa nafanya massage mara kwa mara ila sijawahi kulala na hawa wafanya kazi , wapo kazini. Na sijawahi kuulizwa hata siku moja kama nataka huduma ya ziada, maana yake hawa wanaume wenyewe ndio huwasumbua wadada wa watu.
 
Mleta post sema nilienda sehemu fulani unafichaficha nini,yawezekana stori umetunga,hiyo sehemu haina jina.
 

Mkuu asante sana, hata mimi mleta mada amenichangaya sana. nakushukuru kwa ku "clear" hewa.
 
Duh!!!...Bongo kweli mamtoni!...Hata hivyo kumbukeni kuvaa soksi!
Ingawa hii thread ina miaka 8 sasa
naomba utusaidie nasikia Nairobi wameipitisha sasa kuna Madanguro yenye Leseni
au Biashara hii ya Chap-chap ni halali kwa Mji wa Nairobi kweli? au uzushi
 
Mkuu asante sana, hata mimi mleta mada amenichangaya sana. nakushukuru kwa ku "clear" hewa.
Walio wengi wanamihemuko ya ki hisia kuliko uhalisia wenye fact...utakuta na yeye siku moja alikaa sehemu fulani na washikaji zake then zikaanza hizo stori za uongo na ukweli na yeye bila hata kuoji akakimbilia kuleta hapa JF
 

Hii stori yako na hiyo sehemu uliyoitaja ni hapa hapa Bongo au ni England?...kama ni hapa hapa Bongo nakuomba unielekeze ili niende nikajionee mwenyewe (seeing is believing) na kama ni nje ya nchi basi nitashindwa.

Karibu tuendelee
 
Siyo tanzania tu hata ughaibuni watu tushakutana nazo hizo tabia....massage parlours nyingi kumgegeda dem inawezekana
Endapo mwanaume ana njaa Au Mwanamke akitaka kutoa Huduma extra kwa mteja
 
Hii stori yako na hiyo sehemu uliyoitaja ni hapa hapa Bongo au ni England?...kama ni hapa hapa Bongo nakuomba unielekeze ili niende nikajionee mwenyewe (seeing is believing) na kama ni nje ya nchi basi nitashindwa.

Karibu tuendelee

Umeshaona rugby, 10 downing streets jua ni London huko.
 
Hii stori yako na hiyo sehemu uliyoitaja ni hapa hapa Bongo au ni England?...kama ni hapa hapa Bongo nakuomba unielekeze ili niende nikajionee mwenyewe (seeing is believing) na kama ni nje ya nchi basi nitashindwa.

Karibu tuendelee

Nenda sinza Kuna masage parlour aka danguro ziko sehemu nyingi tu
 
Hizi huduma nyingine wengine hatuwezi kuthubutu kujaribu
 
Nenda sinza Kuna masage parlour aka danguro ziko sehemu nyingi tu

Hilo wala sikatai...si ndio huko upuuzini kwenu mnakofanya massage ni ngono badala ya skin care therapy and body relaxiction?. Hivi unategemea nini iwapo unafungua massage parlour alafu unaenda kuwatafuta wahudumu pale Ambiance kona bar (machangu)? Hapo tena hakuna cha ofisi wala ssalon...hilo ni danguro na laana tupu.
 
Siyo tanzania tu hata ughaibuni watu tushakutana nazo hizo tabia....massage parlours nyingi kumgegeda dem inawezekana
Endapo mwanaume ana njaa Au Mwanamke akitaka kutoa Huduma extra kwa mteja

Now you are talking...kuhusu uko nje hata mimi nimefanyiwa huduma za body massage zaidi ya mara tatu. Ila nako pia siyo kila salon wanafanya upuuzi huo ni baadhi ya salon tu...tena ukikuta kuna salon inatoa huduma hiyo wanakuwa na vibali vyote na hiyo huduma wanaitoa ki professional kabisa na pesa yake ni ndefu. Ila hapa Bongo wengi wenu ni waongo wa kunogesha stori tu za kufirikika.
 

Angalia background history ya wamiliki wa massage parlours zote, wengi wao walikuwa machangu wa kimataifa
 

Nachosema massage parlours syo Zote zenye mambo hayo lkn asilimia kubwa zinafanyika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…