Massage ni hatari kwa ndoa

Massage ni hatari kwa ndoa

amina ngalo

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2013
Posts
309
Reaction score
170
Wanawake wenzangu hii ni week end inaanza leo kuna hizi saloon za kiume ambazo zinawahudumia wanaume kwasehemu kubwa zimekuwa majanga

Mwanaume akishaa anza kushikwa anakubali kila kitu nasikikia siku hizi wanamaliza huko huko

Serikali itusaidie kutenganisha kati ya saloon na maeneo ya massage maana kuzichanganya hizi sehemu moja imesababisha sisi wenye ndoa kuibiwa bila woga maana wakiingia ndani anahudumiwa bila woga wala wasiwasi

Wanawake week end hiyo tuchunge mizigo yetu ..
 
aaaa aende tu. wacha arukie visivyorukiwa atoke na chu** kichwani.
 
Back
Top Bottom