Mass resignation ya madaktari

...Hii inamaanisha madaktari wote nchini pamoja na wale wa hospitali za private wanaachia fani yao ya utabibu.

No! I can buy that s^it in bold.
Madaktari wa private wanahusikaje na migomo ya madaktari wa umma? Maslahi ya madaktari wa umma na private ni tofauti. Hivi daktari aliyejiajiri katika zahanati yake atakuwa anamgomea nani ilhali kajiajiri?
 
Mnangoja nini? anzeni.

we pimbi mwenye cerebral palsy(CP)..of u didnt know, we have ur info frm gud entail, ur photos, been all over the hospitals..now worse thing is, the same docs working at g mnt hospital also work at private sector as paet time...tunakusubiri.
 
we pimbi mwenye cerebral palsy(CP)..of u didnt know, we have ur info frm gud entail, ur photos, been all over the hospitals..now worse thing is, the same docs working at g mnt hospital also work at private sector as paet time...tunakusubiri.

Give them to Ulimboka also, do not forget!
 
wakati pinda akijiaandaa kufukuza madaktari,taarifa zinaniambia kuwa madaktari wanajiaandaa kujiuzulu kwa pamoja(mass resignation).
Hii inamaanisha madaktari wote nchini pamoja na wale wa hospitali za private wanaachia fani yao ya utabibu.

Sina shaka nchi kama Tz iko tayari kupoteza professionals na kukumbati politicians ambaye kimasilahi wako 100 times better than doctors ambao ni ndio machineries na engineers wa miili yetu. Kwanza ya kusomeshnsive a dr pale moi is too expensive. Lakini sina shaka we have sick Pm ambaye hana sifa mtt wa mkulima.
 
Nawaunga mkono!
Haiwezekani kodi yangu imlipe mbunge wa mtera lusinde a.k.a mtambo wa mitusi Sh. 10,000,000/= kwa mwezi badala ya kuwalipa madaktari, wauguzi na waalimu,

Unaunga mkono huu UHUNI? Kwani nchi hii wafanyakazi ni Madaktari tu? Kwani wengine hawahitaji mishahara mikubwa? Nani ataweza kulipa mishahara mikubwa hiyo ya milioni 3? Ni uhuni huo. Serikali yoyote ile lazima iende kwa awamu. Tunajua kwa sasa night call zimeongezwa na zinalipwa sasa hizo nyingine si wasubiri? Ni datari gani huyo ambaye hajui hata kama nchi hii inaendeshwa na bajeti? Hawajui hata kama amri ya mahakama ni kauli ya mwilsho? Ni udaktari gani hauzingati hata taaluma yao wenyewe? Ni uhuni huo. Unataka uanze kazi leo na kesho uwe milionea? Acheni kusapoti mambo ya yasiyo na maana.

 
Na wakifanya hivyo tunawapeleka kwenye concentration camp hadi watakapolipia gharama zetu kuwasomesha. Wauaji wakubwa.


acha mawazo mgando weweeee!! watu wanadai haki zao na wananchi wengine ww unaleta utumbo wako hapa.
 
Unaunga mkono huu UHUNI? Kwani nchi hii wafanyakazi ni Madaktari tu? Kwani wengine hawahitaji mishahara mikubwa? Nani ataweza kulipa mishahara mikubwa hiyo ya milioni 3? Ni uhuni huo. Serikali yoyote ile lazima iende kwa awamu. Tunajua kwa sasa night call zimeongezwa na zinalipwa sasa hizo nyingine si wasubiri? Ni datari gani huyo ambaye hajui hata kama nchi hii inaendeshwa na bajeti? Hawajui hata kama amri ya mahakama ni kauli ya mwilsho? Ni udaktari gani hauzingati hata taaluma yao wenyewe? Ni uhuni huo. Unataka uanze kazi leo na kesho uwe milionea? Acheni kusapoti mambo ya yasiyo na maana.

Bila ya shaka mawazo haya yanatoka kichwani kwa mgonjwa. Ni kweli kada zote zinahittaji mishahara mizuri, kwahiyo unategemea madaktari wawaombee hao wengine nyongeza ya mishahara?. Hao wameonyesha mfano na sisi wengine tukiona kuwa salary zetu zipo chini tutafute njia ya kudai pia na sio kuleta ujinga ujinga, upuuzi na udhaifu wa ki-ccm.
 
hahahah nini bwana mkuu wa nchi keshasema liwalo na liwe ... sie wananchi wa kawaida tukalale viwanja vya ndege ili wasikimbilie kwenda kutibiwa nje na walivyo na ma deal mengi ya wizi yanayopandisha mijipressure yao ni sooo
 
Waki resign wote nitawaona wapo serious kuliko kutugomea kila siku.

Wacha wa resign ili tutafute plan B
 
Unaunga mkono huu UHUNI? Kwani nchi hii wafanyakazi ni Madaktari tu? Kwani wengine hawahitaji mishahara mikubwa? Nani ataweza kulipa mishahara mikubwa hiyo ya milioni 3? Ni uhuni huo. Serikali yoyote ile lazima iende kwa awamu. Tunajua kwa sasa night call zimeongezwa na zinalipwa sasa hizo nyingine si wasubiri? Ni datari gani huyo ambaye hajui hata kama nchi hii inaendeshwa na bajeti? Hawajui hata kama amri ya mahakama ni kauli ya mwilsho? Ni udaktari gani hauzingati hata taaluma yao wenyewe? Ni uhuni huo. Unataka uanze kazi leo na kesho uwe milionea? Acheni kusapoti mambo ya yasiyo na maana.


unakumbuka wabunge walidai mahela kabla ya kazi
 
Back
Top Bottom