Mass resignation ya madaktari

Mr Dhaifu naye si ni Dokta Pia!! au ana sifa za Kijinga kumuelekeza Mtu kumeza Panadol hajui!
 
Hamna mtu atakayependa hawa jamaa wagome au wajiuzulu.Tunawahitaji watuponeshe. La msingi hapa n SRK KUKUBALI KUBORESHA maswala wanayotofautiana. Nia/ushirikiano pia n jambo mhmu sana.

Msisahamu hawa JAMAA/DRs ndio CREAM ya wfaulu ktk shule zetu.............Unajuaa SRK inadili na watu wachache sana......haazidi hata 2000....active hawazidi hata 500. Hivyo B U S A R A inahitajika
 
wakati pinda akijiaandaa kufukuza madaktari,taarifa zinaniambia kuwa madaktari wanajiaandaa kujiuzulu kwa pamoja(mass resignation).
Hii inamaanisha madaktari wote nchini pamoja na wale wa hospitali za private wanaachia fani yao ya utabibu.

Mnangoja nini? anzeni.
 
nawaunga mkono!
Haiwezekani kodi yangu imlipe mbunge wa mtera lusinde a.k.a mtambo wa mitusi sh. 10,000,000/= kwa mwezi badala ya kuwalipa madaktari, wauguzi na waalimu,
hiyo haiwezekani hata siku moja.acha maneno ya kwenye kahawa.nchi hii hawawezi maana maisha yamewabana watu wana familia,wanategemea waende ofisini ndio familia ipate riziki.labda wewevpeke yako utajiuzulu.bank account hazina peza mpaka mwisho wa mwezi ndio mshahara uingie na hakuna business nyingine ya kuingiza kipato.hawa ninaoongelea ni kama 90% hivi.wajiuzulu familia zile wapi??
 
Mungu akufungue ujue unacho ongea.......ukikua utasema baada ya kufikiri km mtu mzima, bila shaka hujawahi tibiwa hospitali ya mwananyamala, temeke au hata amana ambako hakuna dawa, hata karatasi ya kuandikia maelezo ya mgojnwa hukosekana mara nyingine, dawa ni ni ndoto kupata, wagonjwa kulala chini, wajawazito kulala mzungu wa reli pale mwajnanyamala, temeke na amana hapa ni dar huko mkoani je, ni hatari, uukiumwa nenda huko, nasisitiza ukikua utaongea
km mtu mzima, mazingira duni, ufanye kazi kwa masaa 24 kwa elfu 10, hata nauli na chakula cha usiku huo haitoshi......nspita tuuu
 
Hata kama ni speculation lakini ni logical. Madaktari ni watu wenye ufahamu mkubwa fani yoyote watakayoingia watafanikiwa. Wakiamua kuingia bungeni kama Kigwangala patakuwa hapatoshi. Kama ni biashara si lazima kufanya biashara ya hospitali. Wanaweza kufanikiwa katika enterprise yoyote kuliko kudhalilishwa na kuishi kwa hofu!!!
Omulangi umenena. Watawafukuza au wakijihudhuru, utalaamu unabaki kuwa wao, na vyeti hawawezi kuwapokonya. Dr's msirudi nyuma tafadhari!!
 
Mungu akufungue ujue unacho ongea.......ukikua utasema baada ya kufikiri km mtu mzima, bila shaka hujawahi tibiwa hospitali ya mwananyamala, temeke au hata amana ambako hakuna dawa, hata karatasi ya kuandikia maelezo ya mgojnwa hukosekana mara nyingine, dawa ni ni ndoto kupata, wagonjwa kulala chini, wajawazito kulala mzungu wa reli pale mwajnanyamala, temeke na amana hapa ni dar huko mkoani je, ni hatari, uukiumwa nenda huko, nasisitiza ukikua utaongea
km mtu mzima, mazingira duni, ufanye kazi kwa masaa 24 kwa elfu 10, hata nauli na chakula cha usiku huo haitoshi......nspita tuuu
Nasema serikali hii haifai
 
Naona mchango wako mkubwa sana, naona hapo "Platinum Member". Kwi kwi kwi teh teh teh!
Mimi nimejiunga lini? Nae wewe una miaka 5 JF Mimi siku 5 lakini hazitafika siku 20 kabla sijawahi gold lakini wewe umeishia kujaza server tu usiku na mchana kweli wewe unahitaji ban
 
Not possible

Hili jambo la 'mass resignation' limeshajadiliwa kwa kina kwenye mikutano ya maDaktari, limewekwa kama the last bullet...especially kama serikali itatishia kufukuza maDaktari kazi au kuwalazimisha kisheria kurudi kazini! Basi madaktari wote nchini (atleast almost wote) watatoa 24hrs notice ya kuacha kazi. kisheria hawatakuwa wamegoma, hawataweza kufukuzwa, na watapatiwa stahiki zao kama mtu aliyeacha kazi...
 
wakati pinda akijiaandaa kufukuza madaktari,taarifa zinaniambia kuwa madaktari wanajiaandaa kujiuzulu kwa pamoja(mass resignation).
Hii inamaanisha madaktari wote nchini pamoja na wale wa hospitali za private wanaachia fani yao ya utabibu.

Na wakifanya hivyo tunawapeleka kwenye concentration camp hadi watakapolipia gharama zetu kuwasomesha. Wauaji wakubwa.
 
Back
Top Bottom