Mass resignation ya madaktari

Mass resignation ya madaktari

wakati pinda akijiaandaa kufukuza madaktari,taarifa zinaniambia kuwa madaktari wanajiaandaa kujiuzulu kwa pamoja(mass resignation).
Hii inamaanisha madaktari wote nchini pamoja na wale wa hospitali za private wanaachia fani yao ya utabibu.

hahahahahaha hadi wa private,atapona mtu kweli hapo.......na airport zote wafanyakazi wagome basi ili wenye kukimbilia nje nao ngoma iwe droo sasa.......coz hapa anae umia ni maskini......
 
TUSUBIRI MATOKEO YA intelligensia ya polisi ambayo haikuweza kuona pale alipokamatwa, je haikujua kuna hatari ya kupoteza maisha Dr. Ulimboka hata ikamwekea ulinzi siku hiyo tu
 
Back
Top Bottom