Masoud Kipanya the great thinker

Masoud Kipanya the great thinker

Phobia

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2021
Posts
1,181
Reaction score
1,877
Ila masudi the only one. Tumuunde tume sisi tusiojulikana tumpige mapanga ...
20211230_185812.jpg
 
Dah hapo viongozi watajifanya hawaelewi
 
Hope mishahara itaongezwa mwakani maana sio kwa kodi hizi,,,,hali mbaya sana
 
Sekta zinasopaswa kuchangia 'maziwa mengi' ndio zimeundiwa sheria ya kodi ya kuwa favour

Wale kajamba nani ndio wanapigwa kwanza Pay as you earn (PAYE), then VAT, then corporate tax, sijui withholding tax, sijui SDL, sijui city service levy, sijui Osha, bado ushuru wa taka taka wa Halmshauri bado tozo za simu, bado Brela n.k
 
Walipa kodi wakubwa vs walala hoi kwenye tonzo ni tofauti, walala hoi wanakamuliwa ipasavyo wawekezaji wakubwa wanapeta kwa mgongo wa exemption of tax.
 
Back
Top Bottom