Masoud Kipanya: Hii ndio CCM mpya

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
53,646
120,232
Kipanya amefikisha ujumbe gani kupitia kibonzo chake?

17308823_1341943765865527_1647935106024917886_n.jpg
 
Kazi ya rato au reki si inajulikana? Kazi ya glove ya ngumi si inajulikana?

Jembe na nyundo kama ishara ya chama cha wakulima na wafanya kazi haipo tena,bali mbele kumesimikwa kuburuzana na ubabe wa mabavu ie jembe rato na nyundo ngumi!!

I wish kuld be puromota laiki don king!!
 
CCM inatembeza Mkong'onto kwa kila aliyejinadi ni mpambe wa Edward Ngoyai Lowassa kwenye uchaguzi wa 2015.
Ndani ya chama na Nje ya chama.
 
Unapotoa povu kumsafisha Lowasa waziri mkuu aliyejiuzuru kwa kashfa ya ufisadi wa Richmond,usisahau pia kuwa Mh.Lowasa kazungukwa na Rostam,Karamagi na Chenge.CVs za hawa watu zinajulikana!Kwa hiyo ndugu msafishaji kumsafisha Lowasa tu haitoshi,una jukumu zito kuendelea kusafisha pia watajwa hapo juu.Tujikumbushe kidogo kauli ya baba wa taifa kuwa huwezi kuwa msafi na unazungukwa na watu wa ajabu ajabu
Mnafiki tu wewe, usemacho haumaanishi, kesho wewr ndo utakuwa mpiganaji na mtetezi mkuu wa sisiemu.
 
Back
Top Bottom