OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,646
- 120,232
Kipanya amefikisha ujumbe gani kupitia kibonzo chake?
Mabadiliko kutoka Jembe na Nyundo kwenda Jembe na Rungu. Sasa elewa kazi ya rungu ni nini.View attachment 481263Kipanya amefikisha ujumbe gani kupitia kibonzo chake?
View attachment 481263Kipanya amefikisha ujumbe gani kupitia kibonzo chake?
Jembe na NgumiMabadiliko kutoka Jembe na Nyundo kwenda Jembe na Rungu. Sasa elewa kazi ya rungu ni nini.
Hill sio jembe hiyo ni machaku!!Jembe na Ngumi
Kwahiyo Masoud KIPANYA anataka kusema kuwa mwenyekiti wa sasa wa CCM amebeba bomu ndani ya chama chakeView attachment 481263Kipanya amefikisha ujumbe gani kupitia kibonzo chake?
Mnafiki tu wewe, usemacho haumaanishi, kesho wewr ndo utakuwa mpiganaji na mtetezi mkuu wa sisiemu.Unapotoa povu kumsafisha Lowasa waziri mkuu aliyejiuzuru kwa kashfa ya ufisadi wa Richmond,usisahau pia kuwa Mh.Lowasa kazungukwa na Rostam,Karamagi na Chenge.CVs za hawa watu zinajulikana!Kwa hiyo ndugu msafishaji kumsafisha Lowasa tu haitoshi,una jukumu zito kuendelea kusafisha pia watajwa hapo juu.Tujikumbushe kidogo kauli ya baba wa taifa kuwa huwezi kuwa msafi na unazungukwa na watu wa ajabu ajabu
Hapo kuna UJUMBE mzito kwa wenye kufikiri kwa kutumia BONGO zao...Masudi Kipanya is very bright&Talented Political Cartoonist!View attachment 481263Kipanya amefikisha ujumbe gani kupitia kibonzo chake?
View attachment 481263Kipanya amefikisha ujumbe gani kupitia kibonzo chake?
Hahahaaaa!!Hill sio jembe hiyo ni machaku!!
Ni kuwa chama kimejaa kina tysonMabadiliko kutoka Jembe na Nyundo kwenda Jembe na Rungu. Sasa elewa kazi ya rungu ni nini.