Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
TUNAHITAJI VYETI TUUU
TUNAHITAJI VYETI TUUU
Anayekipigania liccm ni BashiteMnafiki tu wewe, usemacho haumaanishi, kesho wewr ndo utakuwa mpiganaji na mtetezi mkuu wa sisiemu.
Siyo rungu mkuu angalia kuna cheche zinatoka mithili ya sound waves...kuonesha hiyo siyo rungu ni microphoneMabadiliko kutoka Jembe na Nyundo kwenda Jembe na Rungu. Sasa elewa kazi ya rungu ni nini.
View attachment 481263Kipanya amefikisha ujumbe gani kupitia kibonzo chake?
Kumbe CHENGE mchafu? Hahahahahaha ....barafu LA moto hiliMnafiki tu wewe, usemacho haumaanishi, kesho wewr ndo utakuwa mpiganaji na mtetezi mkuu wa sisiemu.
Mbona mwenyekiti amefafanua ! Ni mwendo wa push - up tu , unyama unyama , hakuna kumuona mgonjwa wa upinzani hospitali , hakuna kumuona mpinzani gerezani , hakuna kuzikana , jino kwa jino .View attachment 481263Kipanya amefikisha ujumbe gani kupitia kibonzo chake?
View attachment 481263Kipanya amefikisha ujumbe gani kupitia kibonzo chake?
Akipatikana mkuu nami ni PMNaomba mwenye T-shirt yenye nembo ya kihivi aniuzie kwa bei yoyote
Yeye kawasilisha ujumbe, usimshambulie mleta madaMnafiki tu wewe, usemacho haumaanishi, kesho wewr ndo utakuwa mpiganaji na mtetezi mkuu wa sisiemu.
nimemgawa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Masoud amenishinda tabia.
Mwambieni huyo Masoud, sisi wa Koromije ....TUMEMCHOKA....!!!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Masoud amenishinda tabia.