Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,264
- 4,740
Hizo bastola sijui baba mwenye nyumba (Tajiri) anaweza kushinda matamanio hayo. Ni balaa.
kwa hiyo ndo ugonjwa wako?!, wengine twapenda vimbaumbau,.
Hizo bastola sijui baba mwenye nyumba (Tajiri) anaweza kushinda matamanio hayo. Ni balaa.
Nimekutana na hii picha na huyo dada akijitambulisha kama mfanyakazi wa ndani (Hausigeli) kwa jina Elizabeth Patrick. Nimeiweka hii picha hapa kwa kuanzisha hii thread purposely maana watu wengi especially jamii ya kiafrika wanawadharau wasichana wanaofanya kazi za ndani. Sina hakika kama wanaume wanaofanya hizi shughuli nao wanakumbwa na hii dharau.
Huyu dada looks so beautiful, na kama hasingejitambulisha kwa kazi yake hiyo, watu wangeamini kuwa anafanya shughuli maybe ofisini kwenye kiyoyozi. Watu wa namna hii wakipewa nafasi wajivunie kile walicho nacho, inaweza kuleta balaa hata ndani ya nyumba ya tajiri wake. Kama baba mwenye nyumba si mtu wa kujiheshimu anaweza kujikuta anavunja ndoa kwa hilo.
Picha hiyo hapo, maoni yanakaribishwa.
![]()
Picha: Kwa hisani ya Jiachie blog.
My Take: Wafanyakazi wa ndani wanatakiwa nao wapewe mwanya wa kujivunia whatever they have. Unakuta waajiri wengine hawaruhusu hausigeli wao hata kutoka for social activities. Hawa watu wanatakiwa kuheshimiwa kama vile wafanyakazi wengine. I wish watu hawa wangeanzisha chama chao ambacho kingekuwa na lengo la kutetea haki zao dhidi ya waajiri katili.
Ni kwetu tu amabako watu tunadharau kazi. Wenzetu nchi zilizoendelea wanajivunia kazi yoyote wanayofanya; mradi ina kipato cha kuwawezesha kumudu maisha yao. Wafilipino, baada ya degree wanafanya hata kazi za ndani kusubiria ajira ya fani waliyosomea. Wabongo maskini lakini tuna nyoooodo!
sorry i beg to differ, my wife wouldnt have such uggly for house girl, unless my kids refuse to work on their home work
Ni wa HAPAHAPA, Shindano liliendeshwa na Clouds Fm kupitia kipindi cha leo tena.Naomba niulize swali. Ni house girl hapa tz au nchi nyingine? na anafanya kwa Mtz au kwa mtu mweupe? Nauliza hivi maana ninavyowajuwa dada zetu wa kibongo walio wengi house girl akiwa cute hivi inatosha kumkosesha kibarua, si kwa roho mbaya wala nia mbaya ila tu kunusuru ndoa.
She is cute and natural
Nimekutana na hii picha na huyo dada akijitambulisha kama mfanyakazi wa ndani (Hausigeli) kwa jina Elizabeth Patrick. Nimeiweka hii picha hapa kwa kuanzisha hii thread purposely maana watu wengi especially jamii ya kiafrika wanawadharau wasichana wanaofanya kazi za ndani. Sina hakika kama wanaume wanaofanya hizi shughuli nao wanakumbwa na hii dharau.
Huyu dada looks so beautiful, na kama hasingejitambulisha kwa kazi yake hiyo, watu wangeamini kuwa anafanya shughuli maybe ofisini kwenye kiyoyozi. Watu wa namna hii wakipewa nafasi wajivunie kile walicho nacho, inaweza kuleta balaa hata ndani ya nyumba ya tajiri wake. Kama baba mwenye nyumba si mtu wa kujiheshimu anaweza kujikuta anavunja ndoa kwa hilo.
Picha hiyo hapo, maoni yanakaribishwa.
![]()
Picha: Kwa hisani ya Jiachie blog.
My Take: Wafanyakazi wa ndani wanatakiwa nao wapewe mwanya wa kujivunia whatever they have. Unakuta waajiri wengine hawaruhusu hausigeli wao hata kutoka for social activities. Hawa watu wanatakiwa kuheshimiwa kama vile wafanyakazi wengine. I wish watu hawa wangeanzisha chama chao ambacho kingekuwa na lengo la kutetea haki zao dhidi ya waajiri katili.
Kifaa kweli kweli jamani cpati picha baba mwenye nyumba na watototo wake wa kiume wanavyogongana.....